Kwa mbali napata picha kuwa Diaspora wengi wana maisha magumu.
mbona hatujaona wazungu hapo..
I think waliondoka
suala ni kuwa ameona kapiga show uchochoron na kajuwa pics zitafika tz kaamua kujiwah et ukumbi hautosh
hizo dharau tu diamond never dissapointedAmeliona hilo....
Nawewe nawe sasa si bora kabanwa na kapata tabu kapiga milion 20 kuliko iyo fiesta kwa laki tano jua jamaa yupo kibiashara zaidi laki tano kwake ni shoping ya shati na kiatuHeri ungeenda fiesta ya ruge akakulipa laki tano ukajenga heshi
a home.
Kwa hiyo waliridishiwa pesa zao? au.kulikua hakuna kiingilio
Waliokwambia watu wanalala na nja Ulaya wamekudanganya. U sifuate stori za vijiweni.
Kwa mbali napata picha kuwa Diaspora wengi wana maisha magumu.
Nawewe nawe sasa si bora kabanwa na kapata tabu kapiga milion 20 kuliko iyo fiesta kwa laki tano jua jamaa yupo kibiashara zaidi laki tano kwake ni shoping ya shati na kiatu