Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
suala ni kuwa ameona kapiga show uchochoron na kajuwa pics zitafika tz kaamua kujiwah et ukumbi hautosh
tamimusalim, najua hilo hawezi kuvunjika moyo ila nimesema hivyo ajue hao waandaji wengine ni wazushi....hizo dharau tu diamond never dissapointed
Hamna msanii hapa kazi kubana pua tu.ngoma ali kiba
Hamna bhana, ukumbi ni mkubwa kishenzi lakini sio ukumbi wa muziki...dizaini kama PTA Hall pale Uwanja wa Sabasaba!!!Siku hzi mnafanya show grossary? mwanzo mlikuwa mnafanya sebuleni hongereni kwa ku-advance.


Sasa yule babu tale kazi yake nini kama manager,coz ni lazima uone ukumbi, ujue time na malipo then ufunge mkataba, yawezekana mikataba yao wanafungia kwenye computer ,kwa email negotiation na picture
yule jamaa design kama kalewa sifa za kijinga, pia mleta mada unatakiwa udhibitishe habari yako kwa picha na chanzo.