Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Hii ni ishara dhahiri juu ya tusi kubwa si kwa wanaompinga tu hata kwa wale waliomfanikishia kuchukua tuzo hiyo,
Wabongo kw kuiga mambo
mkuu mimi mwenyewe ni shabiki mzuri wa diamond ila kwa hii picha amejishusha.
Msanii mkubwa kama yeye hawezi kukosa maadui, hivyo ni jukumu kujikotro lakini kwa hali hii amekosa ushauri.
tatizo we sio mtu wa media,myself naelewa Y he did that..?!
Kama unataka Kiba apande waambie wenzio muandae kupinda migongo yenu afu mtambeba aende kimataifa..?!Mkomboz anakuja mwenye heshma na adabu ali kiba for really
Ndo tatizo la team jirani,mnashindwa kujua kuwa dole la kati linawahusu,jiongeze babuuHebu tuambie nasi mkuu labda tutaongezea na gumba kabisa
Mkuu mimi mwenyewe ni shabiki mzuri wa Diamond ila kwa hii picha amejishusha.
Msanii mkubwa kama yeye hawezi kukosa maadui, hivyo ni jukumu kujikotro lakini kwa hali hii amekosa ushauri.
So naweza kusema we ni kati ya wahusika wa dole la kati coz tc for haterz..xo beba dole uhucke nalo..?!huyu kapotea sasa kisa hiyo tuzo moja? majanga akipata 6 kama kiba sia atachanganyikiwa huyu?
Hili dole must av the meaning bcaz most people with fame,wamewahi kutake photo za namna iyo..?!Yeye kama yeye hawezi kuji-control kwa sababu mbali mbali, hata wasanii na watu wakubwa wa nje huko wanazidiwa na ghasia zinazokuja pamoja na umaarufu mafanikio. Anahitaji watu watakaomuongoza ili mambo kama haya yasijitokeze. Series ya matukio ya ajabu tangu amebeba hiyo tuzo, sio ishara nzuri.
Jamaa saivi ni level nyingine, ana mashabiki karibu Africa nzima. Hii issue sisi tunaweza kusamehe kwa sababu ni kijana wetu, ila sidhani kama nje ya bongo watamuelewa.
Hii ni ishara dhahiri juu ya tusi kubwa si kwa wanaompinga tu hata kwa wale waliomfanikishia kuchukua tuzo hiyo,
hyo ni perception tu ya watu, hatujui alimaanisha nini. tuyaache
KikulachoChako yaani kunakuaga na watu wanakua na mahaba kupitiliza nazan maana hawaoni kama jamaa kakosea
Ukitazama taswira ya huyo kijana ndani ya jamii ya watanganyika haiendani na hilo tukio alilolifanya hata kama ikiwa ni kwa bahati mbaya....huyu ni mtu ambaye ana ushawishi mkubwa sana hasa kwa vijana wadogo....
Tukio kama hili linapelekea watu wenye akili timamu kumtoa katika ulimwengu wa walio timamu na kumweka katika kapu la wapumbavu....maana ni mpumbavu pekee ndiye mwenye kuweza kutenda hivyo.....