Diamond alewa sifa na kutukana hadharani

Diamond alewa sifa na kutukana hadharani

samahani naomba uniite kwenye ulipoandika kukemee tabia ya wivu wa wananchi wakati wanafanya kampeni asipate tuzo na pia kujaribu toka kila kona asipae kimuziki bali ashuke. au hata kuwaomba wasanii wasapotiane.

hilo dole litawagusa wanaojua ni hawampendi na wana wivu.

wa jamii tena, miaada anayotoa uhauioni hata anayoanzisha sasa

we niambie wapi umemtetea nikasome kwa furaha yangu, maana hilo dogo maneno yake si utachoka kabisa ya mswahili huyu.

Dada yangu mbona unajishushia heshima yako kwa kutetea vitu vya kipuuzi kama hivi....hata kama kuna watu hawampendi na wanamuombea mabaya mbona hiyo ni kawaida hapa duniani.....kwanini asitumie chuki zao kama changamoto za kawaida za kimaisha...
 
Tunaposema kuwa msanii ni kioo cha jamii tunamaanisha kuwa msanii akiwa kama mwanafasihi ana jukumu la kuelimisha, kuonya na kufundisha....lakini vile vile kama msanii ataitumia vibaya taaluma yake basi ataipotosha jamii....
Leo hii tunashuhudia watoto wadogo wakikopi na kufatisha kuimba mashairi ya kipuuzi ya wasanii wapuuzi....ambayo hata kwa akili ndogo utagundua kuwa yanapotosha jamii baada ya kuelimisha.....refer msanii anaimba akisifia pombe na ngono....unadhani inaleta impact gani kwa jamiii....??

Msanii anatokea kwenye jamii hilo ni la kwanza, ukimuona anabehave kama anavyobehave ujue ndivyo jamii yake ilivyo. Hii ndiyo maana halisi ya neno msanii ni kioo cha jamii (Reflection).

Wasanii wetu ni malaya, wana matusi na tabia kibao mbaya just like wanajamii wengine walivyo , wala msitake kumbebesha msanii umalaika kwamba ye anapaswa kufanya mazuri tu! Wala wasanii kuwa inspiration kwa young generation haiwapi wao mzigo wa kuwafundishia watoto wenu maadili mema.

Kwahiyo tujitahidi kila mmoja wetu alee mtoto wake katika maadili mema ili tutengeneze wanajamii wabaadae (wakiwemo wasanii) wenye maadili mema.
 
ndio maana hata kura sikupiga, niliadhimia hivyo tangu alipoonesha unafiki kwenye KTMA, ..
saiz kawa nominated tena category sita na 1 ya collabo ila kwq ujinga wake sitathubutu kumpigia kura, bora niache tu maana mtu anabebwa lakini habebeki
 
Mkuu mimi mwenyewe ni shabiki mzuri wa Diamond ila kwa hii picha amejishusha.

Msanii mkubwa kama yeye hawezi kukosa maadui, hivyo ni jukumu kujikotro lakini kwa hali hii amekosa ushauri.

Umeambiwa wapi yeye mungu wa pili???

Haters wote linawahusu hilo.....


DAVIDO NI MSANII MCHANGA???
 
Msanii anatokea kwenye jamii hilo ni la kwanza, ukimuona anabehave kama anavyobehave ujue ndivyo jamii yake ilivyo. Hii ndiyo maana halisi ya neno msanii ni kioo cha jamii (Reflection).

Wasanii wetu ni malaya, wana matusi na tabia kibao mbaya just like wanajamii wengine walivyo , wala msitake kumbebesha msanii umalaika kwamba ye anapaswa kufanya mazuri tu! Wala wasanii kuwa inspiration kwa young generation haiwapi wao mzigo wa kuwafundishia watoto wenu maadili mema.

Kwahiyo tujitahidi kila mmoja wetu alee mtoto wake katika maadili mema ili tutengeneze wanajamii wabaadae (wakiwemo wasanii) wenye maadili mema.

Haya mpwa nakutakia usiku mwema....ngoja nihamie kwenye siasa maana huku mnapaweza wenyewe
 
Huyu bwana mdogo ameonyesha upunguani wa hali ya juu sana....ameshindwa kujua maana ya yeye kuwa ni kioo cha jamii
Ameshindwa kujua kuwa nyuma yake kuna vijana wengi wanaotamani kuwa kama yeye katika tasnia ya muziki wa kubana pua....kwa picha hii anatoa funzo gani kwa wazazi ambao vijana wao wanaomba sapoti zao kuweza kuwa wanamuziki wa kimataifa hapo baadae.....bila shaka kwa picha hii hakuna mzazi atakayependa mwanaye awe kama huyo kijana....achilia mbali kuwa mwanamuziki.....
Hili ni tusi kwa Watanzania wote maana yeye ndiye anayetuwakilisha kimataifa....
Katika mazingira ya kiungwana anatakiwa aiombe radhi jamii ya watanzania....

Mkuu LILE SPECIAL KWAAJILI YENU...


NAJUWA LIMEKUIGIA NDIOMAANA UMETOKA POVU LOTE HILO



MTANYOOKA TU
hiyo ndio dawa ya wajinga kama nyinyi
 
Sasa nazan umeingia nlipopakusudia kama kaona ni kosa alitakiwa yeye ndo aombe msamaha kwa rais kikwete anaemuaibisha na kwa wananchi kwa kutukana hadharani. Kwa mfano ukikutana na mtu ambae mama yako anamheshimu sana akifanya upuuz kitaani utajiskiaje

Nani kakwambia kamtusi Raisi kikwete? Unamaanisha hujui hilo dole ni special kwa watu wa aina gani? Binafsi hata halinisumbui kwani halinihusu na sijui kwanini linihusu!
Sitakuwa na tatizo nae, zaidi ntamwambia acha upuuzi halafu nitamsamehe.
Vipi una lingine?
#ukijishtukiaujuelinakuhusu .
 
Bwana mdogo mbona unanivunjia heshima bila sababu ya msingi....bila shaka katika coment yangu sijakumention isipokuwa nimekemea tu kile ambacho amekifanya huyo kijana nikiwa kama muungwana....
Alafu sidhani kama kuna mahali nimekutukana au kumtukana mtu....heshima mbele kijana...

Kunimention hakuna tatizo mkuu.. hii ni forum hatuchat sms hapa kusema nimejipendekeza...

Ukiongea utumbo lazima ujibiwe kwa utumbo..
 
ndio maana hata kura sikupiga, niliadhimia hivyo tangu alipoonesha unafiki kwenye KTMA, ..
saiz kawa nominated tena category sita na 1 ya collabo ila kwq ujinga wake sitathubutu kumpigia kura, bora niache tu maana mtu anabebwa lakini habebeki

Gundu hatupendi kupata kura za maskini wa mawazo kama nyinyi

HATUTAKI KUZUNGUKA DALADALA KAMA TEAM TEMBO, JHIZI LEVEL ZA MAJI MAREFU
 
ndio maana hata kura sikupiga, niliadhimia hivyo tangu alipoonesha unafiki kwenye KTMA, ..
saiz kawa nominated tena category sita na 1 ya collabo ila kwq ujinga wake sitathubutu kumpigia kura, bora niache tu maana mtu anabebwa lakini habebeki

Gundu hatupendi kupata kura za maskini wa mawazo kama nyinyi

HATUTAKI KUZUNGUKA DALADALA KAMA TEAM TEMBO, JHIZI LEVEL ZA MAJI MAREFU


MTANYOOKA TU
 
Back
Top Bottom