Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Alisemaga Penny anamsinga wakati yupo nae. Labda siku hizi anasingwa na madame!
Kumsingaa maana yakee ninii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisemaga Penny anamsinga wakati yupo nae. Labda siku hizi anasingwa na madame!
Lol...unabanana nao humu humu mpaka kieleweke!
Kumsingaa maana yakee ninii
Shoga angu kumsinga ni kumsugua kwa machicha ya nazi. Nazi inakunwa ile halafu unasuguliwa nayo mwili mzimaaaa.
Mbona ukimfanyia msukuma atang'ara hadi umshangae!
Uzi upi huo tena?
We naeee ushapitwaaaa
Kim nana uzi wetu umefungwaaa lolll
poleeee weeee!!! ivi umekula kweli maana nimepita pita nakuona kila kona!!
Hahhhhahhhahhahha sijala wala sijaogaaaa