Mzuka wanajamvi.
Lile tukio la msanii maarufu nchini na bara la Africa Diamond la kuibiwa kofia halikuandaliwa staged.
Kwa utafiti wangu ni kweli Diamond ile kofia aliporwa.
Na hiki kitendo kilimkasirisha sana Diamond siyo kwasababu kofia ni ghali bali kufanyiwa matambiko na kurogwa kupitia hiyo kofia.
Haya mambo yapo kabisa. Siyo kila mtu anakupenda ukizingatia umaarufu wake.
Waswahili tunarogana hivihivi na kuibiana nyota kupitia nguo zako na kofia etc.
adhani hili tukio ndio lilimfanya akasirike na kushikwa na jazba na kupanic.
Lile tukio la msanii maarufu nchini na bara la Africa Diamond la kuibiwa kofia halikuandaliwa staged.
Kwa utafiti wangu ni kweli Diamond ile kofia aliporwa.
Na hiki kitendo kilimkasirisha sana Diamond siyo kwasababu kofia ni ghali bali kufanyiwa matambiko na kurogwa kupitia hiyo kofia.
Haya mambo yapo kabisa. Siyo kila mtu anakupenda ukizingatia umaarufu wake.
Waswahili tunarogana hivihivi na kuibiana nyota kupitia nguo zako na kofia etc.
adhani hili tukio ndio lilimfanya akasirike na kushikwa na jazba na kupanic.