Diamond alikuwa na haki kukasirika kuibiwa kofia

Diamond alikuwa na haki kukasirika kuibiwa kofia

Mzuka wanajamvi.

Lile tukio la msanii maarufu nchini na bara la Africa Diamond la kuibiwa kofia halikuandaliwa staged.

Kwa utafiti wangu ni kweli Diamond ile kofia aliporwa.

Na hiki kitendo kilimkasirisha sana Diamond siyo kwasababu kofia ni ghali bali kufanyiwa matambiko na kurogwa kupitia hiyo kofia.

Haya mambo yapo kabisa. Siyo kila mtu anakupenda ukizingatia umaarufu wake.

Waswahili tunarogana hivihivi na kuibiana nyota kupitia nguo zako na kofia etc.

adhani hili tukio ndio lilimfanya akasirike na kushikwa na jazba na kupanic.
Na ilishalowa jasho

Ogopa sana Jasho lako kwa mganga nakuelewa sana msukuma
 
Mabaunsa wote hao bado kepu linasepa hatamie ningemaindi, nisawa unamasai unaluta watoto wa kitaa wamepita na nguo
 
Back
Top Bottom