"Baba yangu atabakia kuwa baba yangu, ila siwezi kumpa kipaumbele sawa na mama yangu"
Uvumilivu muhimu, Mzee ajioneshe kuwa hajafata pesa kwa kutoziomba pesa ila aoneshe amemtaka mwanae naseeb aliomtelekeza wakati mdogo na sio Diamond Platnumz ndio mtoto atafahamu baba amerudi kwa mapenzi ya dhati na sio kwa kijicho cha maslahi..