Diamond amefikisha followers mil 7 leo

Diamond amefikisha followers mil 7 leo

Mbona kiba ana8million sema no kimya hapendi showoff
 
64775515_706975089742636_7121891908871040107_n.jpg

Achana naye huyo semenya alikiba mwenyewe tu ashagafikisha zaman sana sema tu jamaa hapend kujionesha wala kujitangaza
 
Mwanamziki nguli na number 1 diamond platnumz amefikisha followers mil 7 kwenye account ya insta pia hiv karibuni alifikisha subscribe mil 2 siku zinapozidi anazidi kuongeza fan base nje ya nchi baada ya kuwa maarufu Sana Tanzania.Msanii huyo hiv karibuni alikaa mwaka mzima bila kutoa wimbo ila Sasa amesha achia ngoma mbili inama na the one zinafanya vizuri ndani na nje ya nchi na kumuongezea wigo wa mashabiki.
Haters wata jambaa [emoji23]maana huyu jamaa ni kama maji vile..kwenye mziki..usipo usikia mtaani utausikia harusini au kwenye birthday kla kona..inama twende sawa!
 
Ndugu,
Unafaidika na nini huyo bwana kufikisha hawa follower..?
Si mtanzania ,wewe ukitokea umekuwa bilionea mm sio furaha kwangu ?diamond ni mtoto wetu Hayo mafanikio analipa Kofi inayojenga barabara,inayosomesha ndugu zako bure kayumba
 
Si mtanzania ,wewe ukitokea umekuwa bilionea mm sio furaha kwangu ?diamond ni mtoto wetu Hayo mafanikio analipa Kofi inayojenga barabara,inayosomesha ndugu zako bure kayumba

Naona hujanielewa.

Kuwa na ghost follower nayo ni mafanikio.? Ni jambo la kulileta hapa jukwaani..!?
Una uhakika gani kama analipa kodi stahiki kwa serikali kama tu thamani alizopewa na DANUBE hakufanya hicho ulichokisema.

Tuache unaaa....!
 
CR7 ana followers 160 mil ujue
hahahah binadamu bana, hakosi njia ya kukufanya ujiskie vibaya. ni sawa na kumwambia rafki ako kaka nimepata kazi leo dah sjaamini,halafu rafki ako anasema yule jamaa ulomaliza nae ana nyota mbili tayari.

hahah dah. we jamaa bana.
 
Naona hujanielewa.

Kuwa na ghost follower nayo ni mafanikio.? Ni jambo la kulileta hapa jukwaani..!?
Una uhakika gani kama analipa kodi stahiki kwa serikali kama tu thamani alizopewa na DANUBE hakufanya hicho ulichokisema.

Tuache unaaa....!
Hiyo ni roho ya kuzimu ikemee,ununahakika gani ni ghost? Kuboresha maisha ya familia take sio jambo zuri ? Mamilioni aliyomtibia yule dada china?Misaada aliyomwaga mbagala na tandale angekuwa teja huko ndo ungempenda? ,mungu amlinde Huyu na awasaidie wanaohangaika wengine watoboe
 
Hiyo ni roho ya kuzimu ikemee,ununahakika gani ni ghost? Kuboresha maisha ya familia take sio jambo zuri ? Mamilioni aliyomtibia yule dada china?Misaada aliyomwaga mbagala na tandale angekuwa teja huko ndo ungempenda? ,mungu amlinde Huyu na awasaidie wanaohangaika wengine watoboe

.
 
awe au asiwe na followers mi kwangu sipati faida yoyote ndugu....piga kazi wewe uongeze mtaji then uje jukwaan hapa kutamba
 
Back
Top Bottom