Diamond amejibana kwenye Kona ya CCM na Simba

Niambie msanii mkubwa aliyewahi kufanya hivyo, labda ana malengo ya kuacha Sanaa na kuingia siasa.
 
Ameamua rasmi kuachana na wapenzi na mashabiki wa vyama vya siasa vya upinzani na Yanga kwa kutojali hisia za watu wa makundi hayo wakati anapotoa huduma CCM na Simba

Hapana, Diamond pia ni Binadamu na yeye ana choices zake, mbali ya kuwa ni msanii. Kama akiwa jukwaani anaimba CCM, obvious hiyo itakuwa ni kampeni ya CCM, na watakaokuwa wameingia ni wana CCM. Pia, akiimba kuhusu Simba, watakao kuwa wameingia ni wana Simba. Ila hii haikatazi wale ambao sio wana CCM, au wana Simba, kama watakuwa eneo la Simba au la CCM, kutokusheherekea nyimbo za Diamond zile ambazo hazigusi CCM au Simba. Ila kwa upande mwingine, Diamond kama Msanii, akisimama kwenye jukwaa la usanii, mashabiki wake wote, wawe Simba, Yanga, CCM, Chandem n.k hawawezi kubaguana kwa namna yoyote ile, sababu ile ni burudani.
 
Katika kitu ambacho mtu hutakiwi kuogopa kama msanii/mtafutaji ni Simba na Yanga. Baba Simba na Mama Yanga na familia inasonga, hizi klabu ukiona fursa tumia tu sio kama siasa hakuna chuki ya moyoni ni kejeli za mdomoni tu.
 
Pepekale aliimba nyimbo kwa ajir ya yanga kwan pepekale akua na mashabik wa simba ,ali kiba ni muda mrefu amejionyesha ni shabik na mfuas wa yanga kwan na bado ana mashabik weng ambao ni simba, ata nje ya nchi kuna watu maaruf weng wanakua na hisa na timu fulan na bado aiwapunguzii chochote kwanin shida iwe kwa diamond tu
 
Jay Z,Beyonce wanashiriki mara kibao kampeni za Democratic mpaka wanafikia hatua ya kuchangia.

Tatizo lenu mmechagua demokrasia bila kujua maana yake,Diamond nae ni raia kama ww ana haki ya kukichagua chama na timu aipendayo kama wewe.

Jay Z ni Democratic vile vile fan wakutupwa wa Brooklyn Nets (mpaka kufikia hatua ya kuwekeza) na still bado akitoa album kabla ya wiki inagonga Platinum.
 
Kule wanashiriki siasa kuleta changes siyo kutsfuta pesa wala kukinda maslahi yako.

Hata John Legend anashiriki sana na kudonate pesa kwa wanasiasa.

Tanzania mwenye pesa na madaraka anamgeuza msanii atakavyo.

2015 huyo Diamond alimpigia kampeni Lowassa, alivyoona kakatwa akampigia kampeni Magufuli. Ni pesa yako

Siku aliyopelekewa kodi ya milioni 35 akajilizaliza ( kupitia JAHAZI ) kwamba atasusa🤣🤣.

Wakati jeuri hiyo hana
 
Changes kila mtu ana mtizamo wake na ndio Demokrasia kila mtu ana definition yake.

Yeye kwa iman yake ana amini changes zitapatika kupitia CCM ndio siasa.

So huwezi kumchagulia wala kumpangia,yy kishaamua,wengine nao wanaweza wakaamini changes zinapatikana kupitia Hashim Rungwe.
 
Wala mimi sijamaanisha changes mpaka ahame chama.

Ninachoongelea hapa ni yeye kufanya chochote for the sake of 💰

Wako tayari kumpigia magoti kila mwenye pesa na madaraka.

Hawana self principles.

Hata wakionewa na BASATA watajilizaliza tu nyuma pazia .

Na BASATAwalikuwa masikini ila sasa walishawajulia, wakatunga na kanuni za kimungu mtu wanajipigia mipesa tu.
 
Kwa waliokuwa CCM,they do it for money?

Vyama vingine,ndio wana misimamo,sababu hawafanyi kwa ajili ya pesa? Manake kuna vyama vingine kila siku kwa CAG wanapata hati chafu.

Kwani ukiwa ndani ya CCM huwezi kuipinga BASATA,mbona MONDI alishawahi kupinga maamuzi ya BASATA live,mpaka Mwakyembe na Shonza wakaongea nae.
 
Ungekuwa na unajua abc za uhasibu wala usingeshangaa mambo ya hati chafu.

Pili unasema alipinga maamuzi ta BASATA kwahiyo nyimbo zake zilifunguliwa ?
 
Ungekuwa na unajua abc za uhasibu wala usingeshangaa mambo ya hati chafu.

Pili unasema alipinga maamuzi ta BASATA kwahiyo nyimbo zake zilifunguliwa ?
Kupinga unaweza ukakkubalia au ukakataliwa?Ila ume kionyesha kila ulicho kiamini na ulikisimamia.

Hapo kwenye ABC ndio wajanja wanapo patumia kupiga hela,bahati nzuri hawajawahi kuelezea hizo ABC nao wamekaa kimya.
 
Kupinga unaweza ukakkubalia au ukakataliwa?Ila ume kionyesha kila ulicho kiamini?

Hapo kwenye ABC ndio wajanja wanapo patumia kupiga hela?
Anyways ukiachana na masuala ya pesa, anaowaabudu hata wakifanya nini haoni tatizo.
 
Barack Obama wakati alipokuwa president wa United States alionyesha waziwazi kuwa yeye ni shabiki wa Chicago Bulls na haikuwa na madhara yoyote kwa raia wake.
Hata Magufuli anaweza kuwa SImba au Yanga na ikawa poa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…