kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #21
Niambie msanii mkubwa aliyewahi kufanya hivyo, labda ana malengo ya kuacha Sanaa na kuingia siasa.Kikubwa ni kuingiza pesa.Yanga awana pesa,ukija kwa wapinzani pia awana pesa.
Yule kijana anatafuta pesa tu.
CCM inaserikali na wanapesa na Simba ni serikali na wanapesa pia,sasa hapo angoje nini.
"Utopolo na Kibakuli fans mtapigwa shoti sana mwaka huu"