screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Ney wa Mitego nazionaga, I'm not sure abt FANay wa mitego na Mwana FA
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ney wa Mitego nazionaga, I'm not sure abt FANay wa mitego na Mwana FA
Sent from my iPhone using Tapatalk
Lakini za Alikiba wanafosi na za kina Drake na wasanii wa nje!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ata Mond juz nae niliskia nyimbo yakeClouds ni watu wa Amani na upendo wasanii wengi wakiwemo Diamond ndio wamewakataza kucheza nyimbo zao....
Sent from my iPhone using Tapatalk
Kwani Wasafi Media ni mali ya Diamond?
Mimi najua ni mali ya Kusaga, ama iko tofauti?
Ooh!Wrong bora ata ungesema Wanashares
Na wafosi ili kumfuraisha nani?Acha mahaba
Kwa nn hawafosi za harmonise?
Kwani nyimbo huwa zinapelekwa uko ??? Hahahahahaha hahahaha na zile za eminem na jay z huwa wanawapelekea wasafi ili wazipige hahahahahaha hahahahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Harmonize alijitahidi sana kuwaona wasafi kama family japo alijitenga ,,,lakini wasafi wamekuwa wakimdiss na kumwona kama adui ,, hadi ilipofika nayeye akachoka kujibembelezea na kuwa jeuri,,,Diamond hajapiga marufuku nyimbo ya msanii yoyote kuchezwa Wasafi Fm acha kupotosha. Harmonize ndio hataki nyimbo zake zichezwe Wasafi media wala hataki any interview na Wasafi. Tangu atoke Wasafi hajawai peleka nyimbo yake ipigwe pale Wasafi ndio maana unaona nyimbo za nyuma zipo zinapigwa sana tu.
Kuna wasanii wanataka kuitia ubaya Wasafi media so wanazuia kiaina content zao ziende pale mwingine ni Kiba, sema kwa Kiba Wasafi wameamua kufosi tu ili kuondoa picha ya ubaya.
Mabillions? Simple kutamka.Lazima anune dogo kawa balozi wa CRDB deal ya mabilioni hata wewe utamchekea[emoji1787][emoji23][emoji2]
unaongelea CRDB basi kapewa elfu kumiMabillions? Simple kutamka.
Nyinyi si mnasema wasafi media Ni ya kusaga diamond yupo pale Kama kivuli sasa inakuaje unamlaumu diamond kutopeleka wasafi media pale kwenye uzinduzi wa Harmonize?Hata siku ya uzinduki wa album ya Afro East hakukuwa hata na mtangazaji mmoja kutoka Wafasi Media wala hawajawahi kuiongelea hiyo.
Baada ya **** uzinduzi umefana, Diamond KINAFIKI akaamua KUJIKOSHA kwa UMMA kwa kuiposti.
Ila Kijamaa Kina Uswahili Na Roho Mbaya Za Kichinichini.
[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Harmonize alijitahidi sana kuwaona wasafi kama family japo alijitenga ,,,lakini wasafi wamekuwa wakimdiss na kumwona kama adui ,, hadi ilipofika nayeye akachoka kujibembelezea na kuwa jeuri,,,
Mi naona hakuna wa kulaumiwa kati yao,,,, sababu ni kwamba music ni biashara na wafanyabiashara wana tabia za kuzibiana,,,,
Tuwaache waendelee na struggle zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasafi media walialikwa wakakataa?Hata siku ya uzinduki wa album ya Afro East hakukuwa hata na mtangazaji mmoja kutoka Wafasi Media wala hawajawahi kuiongelea hiyo.
Baada ya **** uzinduzi umefana, Diamond KINAFIKI akaamua KUJIKOSHA kwa UMMA kwa kuiposti.
Ila Kijamaa Kina Uswahili Na Roho Mbaya Za Kichinichini.