Prince Dos Santos
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 1,047
- 1,321
Bongo ukifanikiwa unapondwa waziwazi ....
....Ndio akili za wabongo hizi wala sishangai..........Siku zote anaye jua ana jua tu majungu hayana nafasi ya kumuangusha ...............Trust me Diamond ndio kaitangaza Tanzania kimataifa tena kwa struggle zake binafsi ................Bila hivyo tuendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu kama kwenye michezo tulivyo .............Ndo maana inasekekana 90 % ya waTanzania ni wachawi........Shwain kabisa.........Halafu mitandao imechange sana Game .........Mi nina mwaka wa 10 huu sijasikiliza redio au kuangalia upuuzi wa TV sijui na Takataka gani sioni la maana kwa media zetu hizi za bongo ni upuuzi tu ................We are lagging too far behind our neighbouring countries when comes to Media ( Radio and Televisions stations )
....Ndio akili za wabongo hizi wala sishangai..........Siku zote anaye jua ana jua tu majungu hayana nafasi ya kumuangusha ...............Trust me Diamond ndio kaitangaza Tanzania kimataifa tena kwa struggle zake binafsi ................Bila hivyo tuendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu kama kwenye michezo tulivyo .............Ndo maana inasekekana 90 % ya waTanzania ni wachawi........Shwain kabisa.........Halafu mitandao imechange sana Game .........Mi nina mwaka wa 10 huu sijasikiliza redio au kuangalia upuuzi wa TV sijui na Takataka gani sioni la maana kwa media zetu hizi za bongo ni upuuzi tu ................We are lagging too far behind our neighbouring countries when comes to Media ( Radio and Televisions stations )