Wa syria wana tuhusu nini? Sisi wa Africa wanao tutukana kila kukicha wacha wafe au wewe una damu ya Asia. Nenda kawasaidie wa Asia wenzako. Waafrica tuna jipendekeza.Kati ya Diamond na Raia wa Syria nani yupo ktk wakati mgumu unaostahili Mungu kuwa upande wao? Wananchi hasa watoto wa Syria wamemkosea nini Mungu hata wawe jehanamu ya hapahapa duniani? Ungekuwa wewe Mungu ungeweza ungemsaidia nani kwanza?
Acha kupotosha! How come aseme hategemei "media" wakati bado huwa anafanya media tours na ni juzi kati tu hapa alikuwa Times!Amelewa umaarufu dogo..ashawah sema siku hz hategemei media hata youtube inamtosha..kazkaz
Mpe shoo uone kama atakataa!! Lakini kama unataka shows za 10M; wapo wasanii watakaokupigia show kwa hiyo rate au hata kwa 5M lakini sio Diamond!!Anafanya show za nyumbani mond?
Radio gani hii mkuu niache kuisikilizaNilimsikiliza dogo kwenye interview moja hivi ameongea media nyingi zinaamini bila wao wasanii hawawezi kutoka na yeye kama yeye anajitahidi sana kuwa mnyenyekevu kwa media ila tatizo linakuja kama binadamu kunakutofautiana na mtangazaji mmoja ama wawili lakini wao watu wa media wanakimbilia kuweka ugomvi wa kitaasisi na msanii.
Akatoa mfano radio moja huwa inafanya matamasha walimwomba Hamonize awa support bure na yeye bila kinyongo akawapa Hamonize ila ili kulinda brand ya msanii wake akawaambia wamchukue dogo bure ila hiyo radio angalau igharamie nguo na kulipa madensa wa Hamonize maana pale ananogesha hiyo shughuli lakini pia dogo kama brand anajimaintain (wakatoka hapo wakasema jamaa kakataa na tayari likawa bifu)
efm/tve washamalizana.IPP MEDIA
CLOUDS MEDIA GROUP
E MEDIA... FM @ TV
na vimedia taka vingine vinavyofuata mkumbo
Mimi nawaambia. Kwamba Mungu ataendelea kumsimamia na kumuinua kijana huyu.
Wote tunajua historia yake. Mtafeli nyinyi. Mungu awape maisha marefu muendelee shuhudia mafanikio ya JUHUDI.
View attachment 726439
Tatizo amezaa na Hamisa ambaye Majizo alikua demu wakeMajizo ana tatizo gn na mondi
Wamegongana kwa MobetoMajizo ana tatizo gn na mondi
Wewe una tatizo na demu wa X wako?Wamegongana kwa Mobeto
Kweli, saiv efm wanapiga ngoma za mond ila huko nyuma walikuwa hawapigi tena za wasafi kwa ujumla, na hapo kwa ipp sio kweli, ni eatv na ea radio ndo hawapigi lkn itv, radio one na capital radio wanapigaHapo kwa e-fm labda kama usikilizi mkuu kila leo wanacheza nyimbo zake leo nimesikia wimbo wake hata jana kwenye kipindi cha uhondo na vingine....kwa E-fm unawaonea hata Diamond amesema kwenye interview yake times fm kuwa ni media mbili azichezi nyimbo zake ....ni majuzi tuu MAROMBOSO alikuwa E-fm
Kama pengine ndio alioniibia huyo Ex nitamuwekea bifu tuWewe una tatizo na demu wa X wako?