HahahahahaaaaInamaana mmakonde hawamuoni...?
Ko mwenzake atangazage juice tyu..?
Aache roho mbaya awagawie na wenzake bhana
[emoji23][emoji23][emoji23]Inamaana mmakonde hawamuoni...?
Ko mwenzake atangazage juice tyu..?
Aache roho mbaya awagawie na wenzake bhana
Inamaana mmakonde hawamuoni...?
Ko mwenzake atangazage juice tyu..?
Aache roho mbaya awagawie na wenzake bhana
Walimuuliza ila jamaa kakataa kuwajibu
Ungekuwa upo insta na mitandao mingine ungeona namna gani watu wametengeneza attention ya kutaka kujua diamond atasemaje kuhusu mahusiano yake pamoja na hizo media zilizokuwepo kwenye press conference hata humu Kuna mtu alianzisha thread na kusema leo diamond atafunguka kuhusu mahusiano yake na maswali yaliyoulizwa kwenye hiyo press nipamoja na tetesi zinazoenea kuhusu diamond kuachana na tanasha na diamond akakataa kujibu.Mkuu kwani si mkutano wake tangu awali ulijulikana kuwa anapewa ubalozi? Na wameanza kuongea watu wengi kabla yake?
Mkutano huu na Tanasha anaingiaje hapa? Usijekukuta unawasema wenzako kumbe na wewe ni walewale
Diamond kaisha achana na Tanasha, tangu lini anawajibika kuwaambia watu? Tume ya taifa ya uchaguzi ndio ilimpa Tanasha?
Ungekuwa upo insta na mitandao mingine ungeona namna gani watu wametengeneza attention ya kutaka kujua diamond atasemaje kuhusu mahusiano yake pamoja na hizo media zilizokuwepo kwenye press conference hata humu Kuna mtu alianzisha thread na kusema leo diamond atafunguka kuhusu mahusiano yake na maswali yaliyoulizwa kwenye hiyo press nipamoja na tetesi zinazoenea kuhusu diamond kuachana na tanasha na diamond akakataa kujibu.
Ndomaana unakuta wambeya wana followers wengi kuliko hata watu wanaotoa elimu ya ujasiliamali alafu hao hao wa bongo wanalalamika maisha magumu.Yaani watu wanaumwa umbeya nchi hii
Hakutakiwa kuulizwa
Kweli nduguNdomaana unakuta wambeya wana followers wengi kuliko hata watu wanaotoa elimu ya ujasiliamali alafu hao hao wa bongo wanalalamika maisha magumu.
Huyo ndo mtu maarufu Zaid bongo kando ya JPMKwanini Diamond anazungumziwa sana katka taifa hili?