Diamond amfumua zari , amwambia amuige hamisa ku move on ...

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Ila domo hawezag kufanya enterview bila kumzungumzia Zari , hivi una akili timamu kweli ? Mtu umezaa nae watoto wawili, kutwa kumdhalilisha kwenye media , na wewe Zari Ndo ukome kuzaa na watoto wa Tandale, Ivan hajawah hata siku moja kumuongelea Vibaya Zari

Yan domo halinaga break , hajui maswali yap ya kujibu yap ya kuacha, Kwan ukisema tu no comment itakuaje? Wewe si Ndo uliachwa ukawa unaenda South kuomba msamaha wewe? , Zari Ana damu zako, hyo ku move on unayozungumzia wakuambiwa ni kina wema sepetu ambao hujazaa nao, mtu hujui watoto wako wanaishi vip, huend kuwasalimia, unategemea Zari atajisikia poa? Tatizo sio kuachana, Tatizo watoto , kutuma pesa sio malezi mbwa wewe, kaone watoto wako
 
Kuna ya BEHIND THE SCEEN
 
Mtu huna maisha yoyote, njaa tupu lkn kutwa kufatilia maisha ya wenzio!!! Amakweli kuna watu umasikini wanaupenda.
 
Mtu huna maisha yoyote, njaa tupu lkn kutwa kufatilia maisha ya wenzio!!! Amakweli kuna watu umasikini wanaupenda.

Wewe usioupenda umaskin humu inafanya nini ? Mwenzio Niko established sina njaa kama wewe ndio maana nime relax , sasa wewe usiyependa kufuatilia maisha ya watu humu unafany nn mxieew njaa unazo wewe
 
Usijibaraguze na maneno ya kuokotaokota, acha ushambenga. Kila uchao unawaandika, watu wenyewe hata hawakujui lkn unafukuuuutwa na maisha yao. Ulizaliwa uchochoroni?

Nyoo mwanaizaya mbwa wa makaburin wewe ebu usinite shombo, ntakuchamba Ukoo wenu wote mbuzi wewe
 
Huku celebrities forum ulitegemea kuzungumziwe maisha ya ngedere?

Ebu muulize kwanza , anajifanya hapend umbea wakat ye ndo wa kwanza ku reply humu mbwa huyo wa makaburin, mxieew tena asinitibue vuzi mchana wote huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…