Ila domo hawezag kufanya enterview bila kumzungumzia Zari , hivi una akili timamu kweli ? Mtu umezaa nae watoto wawili, kutwa kumdhalilisha kwenye media , na wewe Zari Ndo ukome kuzaa na watoto wa Tandale, Ivan hajawah hata siku moja kumuongelea Vibaya Zari
Yan domo halinaga break , hajui maswali yap ya kujibu yap ya kuacha, Kwan ukisema tu no comment itakuaje? Wewe si Ndo uliachwa ukawa unaenda South kuomba msamaha wewe? , Zari Ana damu zako, hyo ku move on unayozungumzia wakuambiwa ni kina wema sepetu ambao hujazaa nao, mtu hujui watoto wako wanaishi vip, huend kuwasalimia, unategemea Zari atajisikia poa? Tatizo sio kuachana, Tatizo watoto , kutuma pesa sio malezi mbwa wewe, kaone watoto wako