serious,Ahahahah lol
Ila domo hawezag kufanya enterview bila kumzungumzia Zari , hivi una akili timamu kweli ? Mtu umezaa nae watoto wawili, kutwa kumdhalilisha kwenye media , na wewe Zari Ndo ukome kuzaa na watoto wa Tandale, Ivan hajawah hata siku moja kumuongelea Vibaya Zari
Yan domo halinaga break , hajui maswali yap ya kujibu yap ya kuacha, Kwan ukisema tu no comment itakuaje? Wewe si Ndo uliachwa ukawa unaenda South kuomba msamaha wewe? , Zari Ana damu zako, hyo ku move on unayozungumzia wakuambiwa ni kina wema sepetu ambao hujazaa nao, mtu hujui watoto wako wanaishi vip, huend kuwasalimia, unategemea Zari atajisikia poa? Tatizo sio kuachana, Tatizo watoto , kutuma pesa sio malezi mbwa wewe, kaone watoto wako
Just move on,Sasa mtu hujui watoto wanaishi vip, huendi kuwaona, ila ukiona picha zao instagram unajifanya ku post et my young lion mxieew huo upuuzi apeleke kwa hamisa.
Hivi hujui maana ya mtu kukublock? It only means hataki mawasiliano na wewe , period , Zari has been surviving and living he lavish lifestyle way back before domo came to the scene, let me remind you , before Domo there was a rich man Ivan [emoji23], yan a move on kwa ivan millionaire Ndo asimove on kwa huyu mkata viuno wa Manzese? You must be a joke , wewe umesikia wap Zari alikua anamsumbua domo au kumpeleka mahakaman kwa ajil ya child support? Have a brain kidogo basi binamu, like seriously Zari ni mtu wa kubembeleza mtu Yule ? [emoji23][emoji23], you must be a joke binamu
View attachment 1138304
Hamisa kamsema live na Tanasha wake.. mbona anamparamia Zari tu!!!
Bado anampenda na utofauti wa maisha yanampiga kiaina mbayaaaaa anajuta. uchungu wa kuachwa anakuwa punguani sasa.. kiki zimebuma..
Zari mkomeshe sasa.. huyo zaidi mtelekeza watoto na mpenda down. Awards hata mialiko ya kuimba hana tena.. hakutumia akili hadi amekukosa kabisaaa.. Kingbae anampa uchwizi.. ha ha haaaa
View attachment 1138309
HahahahaWe naye saa zote bize na maisha ya watu, hivi unapataga hata muda wa kutawaza ukijisaidia?
Just move on,
kublock mtu kisa kalike picha ya mtoto na hatoi matumizi wakati unalala na kujamba kwenye nyumba yake huo ni ushamba.
Mtoto Wa diamond ni mmoja mwingine wa Ivan
Ila wanaume wanajua kuficha mengi diamond ana mengi moyoni.
Kwani kakosea wapi?Zari akubali kumove on!
Au tatawewe ni mwanamke no doubts
sasa ukiblock mtu insta ndiyo ataleta pesa za matumizi???Daudi, I thought you are way smarter than this , kwa hiyo malezi its all about money and material things for you si ndio? Even the father is not physical present to eye his kids is no more valuable? Eish , I’m done with millennials ... so kwako we malez ni kujengea nyumba watoto bas then watajijua wenyewe?
All in all Zari is a well established woman , we all know that , Zari hana njaa ndo maana humkuti aki beg pesa coz anajiweza unlike hamisa
Tell diamond to move on and stop mentioning Zari on each interview , aache genye bwana, Kwan tanasha hampi Kiki? Si amuongelee tanasha basi
sasa ukiblock mtu insta ndiyo ataleta pesa za matumizi???
Move one na maisha.
thubutu, hana muda huo huyu.We naye saa zote bize na maisha ya watu, hivi unapataga hata muda wa kutawaza ukijisaidia?
thubutu, hana muda huo huyu.
mahaba yamekuzidi hadi unajivua ufahamu.Sasa Kwani what is insta? [emoji23][emoji23], so siku hzi malezi ya watoto yapo insta binamu? Khaa Leo umenivunja mbavu... well just tell your cousin to stop mentioning Zari kwenye interview zake bhana , tell him to move on ... unajua how Zari feels right now ? Kuwa diamond is not diamond without her , Kwa nini asiongelee kuhus tanasha and his coming mtoto? Coz she doesn’t Kiki eeh?
If you have moved on , you no longer have to talk about your ex , in whichever way yan , yan unapotezea mazima yan kama hujawah mdate huyo mtu , ila ndugu yenu hawez kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kids life styles are the perfect reflection of their parents pastHivi huyu Diamond si ndio alisema hawezi kumtunza baba yake kisa alimuacha bila malezi,sasa na yeye anafanya nini kwa watoto wake...?