Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Diamond amesema anamsikitikia sana wema na amemualika kwenye sherehe ya mwanae kufikisha siku 40
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika lugha gani!?Kabda alifiwa, hivyo waswahili wana hiyo siku ya 40 tangu azikwe, wanaiheshimu sanq
Mbio nyingi mpaka unakosea kuandikaKabda alifiwa, hivyo waswahili wana hiyo siku ya 40 tangu azikwe, wanaiheshimu sanq
Du!! Umesha piga maji ya mifukoni!!Kabda alifiwa, hivyo waswahili wana hiyo siku ya 40 tangu azikwe, wanaiheshimu sanq
Sijui mkuu, typing errorsUmeandika lugha gani!?
Ha ha haMbio nyingi mpaka unakosea kuandika
Pia anajua kucheza na maneno, umesikia anaulizwa kama anafahamu beseni la Wema, amejibu "na yeye pia ni mmoja wa watu walioalikwa".DIAMOND mara nyingi anaroho nzuri.
Huyu dogo wa kwa Mtogole (jirani yako) kazaliwa kimakosa sana Bongo,anaakili za kusaka pesa na kucheza na akili za watu.Pia anajua kucheza na maneno, umesikia anaulizwa kama anafahamu beseni la Wema, amejibu "na yeye pia ni mmoja wa watu walioalikwa".