Ulimpima lini?hamna lolote diamond hana uwezo wa kuzaa..huo ni udaku tuu, ataendelea kulelea watoto wa madume ya mbegu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimpima lini?hamna lolote diamond hana uwezo wa kuzaa..huo ni udaku tuu, ataendelea kulelea watoto wa madume ya mbegu..
Wewe ulidhibitisha wapi dogo yuko fiti???Ulimpima lini?
Teh Teh.......Aweke vyeti sio maneno
Ww uliyemshutumu ndo ulipaswa kutoa ushahid wa vipimo!! Kwani mimi wapi nimesema yupo fit au unfit?Wewe ulidhibitisha wapi dogo yuko fiti???
Waionaje dear. Amavubi alinipa. Niendelee nayo nisiendelee?Mhhhhh mkuu hiyo avatar noma sana.[emoji23] [emoji23]
wewe ndio umemshutumu kwa kupinga kauli.. kama huna uhakika ni bora kubaki neutral..je anavyosema amepima DNA umedhibitisha?? au ni porojo za shigongo(udaku).. je unadhani kwa nini hakupima hapa bongo kama ana uhakika ni rijali ili kuondoa tetesi?? kwa nini aende akajifishe huko S.A na kutoa porojo akiwa huko bila udhibitisho??dogo hana uwezo wa kuzalisha mwanamke japo si hanithi.. ndugu zake na mama yake wanalitambua hilo wewe mtu wa nje huwezi jua japo utasikia tuu..Ww uliyemshutumu ndo ulipaswa kutoa ushahid wa vipimo!! Kwani mimi wapi nimesema yupo fit au unfit?
tumekuelewa mwanafamilia!wewe ndio umemshutumu kwa kupinga kauli.. kama huna uhakika ni bora kubaki neutral..je anavyosema amepima DNA umedhibitisha?? au ni porojo za shigongo(udaku).. je unadhani kwa nini hakupima hapa bongo kama ana uhakika ni rijali ili kuondoa tetesi?? kwa nini aende akajifishe huko S.A na kutoa porojo akiwa huko bila udhibitisho??dogo hana uwezo wa kuzalisha mwanamke japo si hanithi.. ndugu zake na mama yake wanalitambua hilo wewe mtu wa nje huwezi jua japo utasikia tuu..
ebu sema ukweli wako toka moyoni...huyo bibi unaemsema(zari)angekutaka wewe ungemkataa kweli?au wazee wako wangemkataa?Kuna wazazi ukiwa na hela wanakuona miungu mtu sasa hivi kweli mama yake diamond kakubali kabisaaa kuona mwanae kaolewa na huyu kibibi. maadili yanapotea kabisa hakuna mapenzi hapa ni uchafu na kichefuchefu
bila makeup maisha hayaendi?Kumtamzama mtoto tu inatosha. Kwa nini mpaka ma DNA, sijui ma Diamond?
View attachment 328983
Kwani linex ashamgonga zari?Mi nilikuwaga najua Tiffa ni mtt wa Linex..Basi sawa
hii ni lazima uelewe tuu haina jinsi..hata kwa bakora.. kadogoootumekuelewa mwanafamilia!
Wivu wa kikehivi huyu kijana na umri wake kweli kaamua kabisa kuapeleka maisha kwa bibi huyo?
sijui atahadithia nini maisha yake ya ujana na mapenzi
Usiendelee nayo,badili rudisha ile yako.Waionaje dear. Amavubi alinipa. Niendelee nayo nisiendelee?
Hamna kitu, labda uwadanganye "watoto"!....."machine" imetumika mfululizo miaka kumi.....! Hiyo 10 ni ya ndoa na huyo baba wa hao watoto watatu...hapo bado hujaweka ile ya ujana!Mamama ni matamu sana. Ukionja hutatamani vidada !