mkuu hahahahhahahha umenichekesha sana eti urudiiiiHata asingesema nilishampigia ila sirudii tena, mara1 inatosha
Kabisa hapendi ujingaDee hapendagi ujinga....
Mi mwenyew nimepiga mara moja sirudii tenaHata asingesema nilishampigia ila sirudii tena, mara1 inatosha
Hlf mondi ndo anaonekana mswahili. Humkut mondi anamponda kiba kny interviews ata siku 1. Ss mtoto wa kariakooDiamond huwa yuko poa,Alikiba ndio huwa amavimaneno vyenye ukakasi plus mashabiki wake!!
Ukirudia tena inabidi huyo Alikiba akulipe, usikubali kurudia bureMi mwenyew nimepiga mara moja sirudii tena
Jina lako la kwanza kuna mtu anasumbua nalo jamii BUGURUNI. Sijui mnafahamiana?Dee hapendagi ujinga....