Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,404
..Akihojiwa katika kipindi cha D'weekend chatshow Diamond Platnumz amesema kuwa watanzania wampigie kura Ali Kiba ili tuzo ije nyumbani na sio kusema kuwa mimi ni shabiki wa Diamond hivyo simpigii kura Ali,.pia amesema kuwa yeye hana bifu na Ali!!
.....nini maoni yako?????
.....nini maoni yako?????