Diamond amuweka matatani askari magereza

Askari ...Magereza ni Kazi za ovyo...sana ikiwemo na Upolice....maana Iyo kofia aina maana yeyote...kazi zenyewe zakuliwa na Mbu....

Moja kati ya COMMENT ya HOVYO kwa mwaka huu!Hata kazi yako hiyo(kama kweli unayo)kuna watu wanaiona ya hovyo!
Tuchague kwa makini cha kuandika
 
Askari ...Magereza ni Kazi za ovyo...sana ikiwemo na Upolice....maana Iyo kofia aina maana yeyote...kazi zenyewe zakuliwa na Mbu....
Nshomile katika ubora wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ni mgawanyo wa majukumu. Watu wote wakiwa bankers itakuwaje? Kazi zote zinategemeana ni system. Hivyo, Heshimu kazi ya mwenzio kwasababu inasababisha uwepo wa kazi yako.
 
Askari ...Magereza ni Kazi za ovyo...sana ikiwemo na Upolice....maana Iyo kofia aina maana yeyote...kazi zenyewe zakuliwa na Mbu....
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] better bas hata salary ingekua kubwa
 
Watu wa udaku hamjambo kweli, Sasa kamuweka kwenye matata gani hapo? Kwani kofia ina nini mpaka Diamond amuweke matatani askari?
 
Haya magazeti ya udaku ni bure kabisa...

Askari kajiweka matatani mwenyewe hapo au kawekwa matatani na Diamond!
 
crown ya magereza haina halama ya bibi na bwana...
kubwa zima umbea tuu....
 
Itakuwa bahati mbaya, c unajua DSM joto Kali inabidi angalau kichwa kipate hewa
 
Askari ...Magereza ni Kazi za ovyo...sana ikiwemo na Upolice....maana Iyo kofia aina maana yeyote...kazi zenyewe zakuliwa na Mbu....



Yule mke wa askari aliekwambia mke wako ana MDOMO mbaya na pua mbaya na SURA mbaya bado anakufwata fwata???
 
Askari ...Magereza ni Kazi za ovyo...sana ikiwemo na Upolice....
Mkuu kazi zote za kiaskari ni kazi za ovyo, na kijitaftia ufukara wa milele. Hakuna Askri ambae mshahara wake unakutana. Yaani kama kuna laana flani hivi. Ngoja astaafu huyo, utamhurumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…