Diamond amuweka matatani askari magereza

Diamond amuweka matatani askari magereza

JAMAA SANDALS ZIMEKATIKA ANAKWENDA KUSHONA TENA HAHAAA TOWN SIKUNA MADUKA MENGI TU YALIYOJAA KUMBE NAO HUWA WANASHONA VILIVYOKATIKA mmhh

sasa hayo mahela wanayosemaga wanayo wanashindwa vipi ktk kuzitumia kwnye vitu vidogo kama hvyo ...
 
Askari ...Magereza ni Kazi za ovyo...sana ikiwemo na Upolice....maana Iyo kofia aina maana yeyote...kazi zenyewe zakuliwa na Mbu....

Mkuu basi tangu mke wa askari akuambie mkeo mbaya umehamishia hasira zote kwa maaskari, siyo poa mkuu!
 
Acha dharau kijana ,bila ya hao si ajabu ungekua ushauliwa ,kuwalinda majambazi wa kila aina ambao wangekua mtaani ingekua vilio kila siku si jambo dogo

Polisi hata siku moja hawajiriwi kwa ajili ya kazi ya kukulinda na majambazi. Serikali ni KIKUNDI CHA WATU WACHACHE AMBAO UTAWALA ARDHI YOTE NA KUWEKA SHERIA ZAO.... POLICE NI KITENGO KIDOGO TU KTK KIKUNDI HCHO CHA WATU WACHACHE AMBAPO HUTUMIA POLICE HAO KULINDA INTEREST ZAO
 
kazi za ovyo tu hizo
Mkeo si anagongwa na hao hao tena in and out boya wewe acha kudharau kaz za watu nyny ndio mnaopigwa nyuma kwa kupenda vitu rahisi kama huna cha kuandika piga kimya sio kuleta uhanith wako humu
 
Polisi hata siku moja hawajiriwi kwa ajili ya kazi ya kukulinda na majambazi. Serikali ni KIKUNDI CHA WATU WACHACHE AMBAO UTAWALA ARDHI YOTE NA KUWEKA SHERIA ZAO.... POLICE NI KITENGO KIDOGO TU KTK KIKUNDI HCHO CHA WATU WACHACHE AMBAPO HUTUMIA POLICE HAO KULINDA INTEREST ZAO
Wale majambazo magereza wanalindwa na nani?nadhani hakunielewa
 
Back
Top Bottom