Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ningekua wema ningekufwa siku si zangu
he he he uwanja wa taifa ni mpira, maadhimisho na kuaga miili ya watu maarufu...Kama haumii kwanini wale misukule yake wanapata guts ya kumkalia kooni zari na chibu utazani anawadai?? Na ile misukule inafahamiana naye personally asituzuge hapa.Kuumia anaumia sana akikumbuka alivokua anajishau eti ndoa uwanja wa taifa.
Haijalishi... Age is just a word
Sidhani Kama Wema anaumia. Nahisi kwake yeye ni Kama ule msemo usemao kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi. Yeye ndo kaacha, I believe alikuwa na plan yake. Hakuacha kiolelaolela.
Mwana fa alishaimba kuhusu watu kama wewe @USIJE MJINILemutuz ndio nani?
Mwana fa alishaimba kuhusu watu kama wewe @USIJE MJINILemutuz ndio nani?
Hii ni sawa na kusubiri pantoni k/koo shimoni
Ndoa ya Paris hilton au?Mie nasubiria ndoa ya paris!!p
Yaani ufe kisa mwanaume,mbona wapo wengi mimi tu hapa nimezaa madume 5,wa kike mmoja tu.Ningekua wema ningekufwa siku si zangu
Yaani ufe kisa mwanaume,mbona wapo wengi mimi tu hapa nimezaa madume 5,wa kike mmoja tu.
miaka 4,vipi ulitaka kuleta posa?Wa kike ana umri gani??..
miaka 4,vipi ulitaka kuleta posa?
Diamond alisema kipindi kile kuwa hataowa coz akiowa atapomoromoka kimusic,sasa maneno yanaumba akiowa tu ndo mwisho wa kazi yake ya kuimba yake
Le mutuz is some special type of of retard.
Ivi waislam huwa wanafunga ndoa mwanamke akiwa na mimba? Si nasikia eti wamwoa na kiumbe wa tumboni au?
Is pregnant au She is Pregnant??