Diamond amvisha pete Zari, ndoa kufungwa tarehe 1 Mei

Diamond amvisha pete Zari, ndoa kufungwa tarehe 1 Mei

Bora akiumia Wema ataeleweka na hata mimi nitamwelewa lakini maajabu ya dunia hii c ajabu kuna wana-JF hapa watakaoumia! Na ni bora basi wangekuwa ni mashabiki wa Wema... kuna kadha wa kadha waliokuwa wanapiga ramli na kuita hiyo ni drama inayochezwa na akina Ivan... yaani mtu anamtoa mke wake akamegwe hadi kupigwa mimba kwa ajili ya drama! Hawa wapiga ramli nao si ajabu ukakuta nao wanaumia...

Hahahahah werAaaaa
 
Jamani wema, najaribu kuvaa viatu vyako vinanishinda mwaya.Huko uliko nahisi uko na doctor karibu wa kuhakikisha pressure inakaa sawa
 
Ahsante mpenzi kwa kuniita.Naona watu wanaitana kwa team...
Na wewe ukamwaga mboga
😛😛😛

Nakwambiiia....hapa hata kama simfagilii kimziki ubuyu wake nautafuna kama kawa na maji nashushia.
 
Avemaria my girl njoo huku ujionee mambo..
Hahahaaa,mjini patamu sana.

Ndoa na kiumbe tumboni?!
mmmmh!!! Au siku hizi wanaruhusu tu?

Mi bado nipo njia panda hata kwenye pitapita zangu nimesikia kuwa ile sio ndoa sijui ni idea gani ya Zari vile.

Nasubiri iwe confirmed maana mmmmh ni shiiiidah aisee!
 
Last edited by a moderator:
Ndoa na kiumbe tumboni?!
mmmmh!!! Au siku hizi wanaruhusu tu?

Mi bado nipo njia panda hata kwenye pitapita zangu nimesikia kuwa ile sio ndoa sijui ni idea gani ya Zari vile.

Nasubiri iwe confirmed maana mmmmh ni shiiiidah aisee!
Utasubiri sana.
 
Back
Top Bottom