Diamond amvisha pete Zari, ndoa kufungwa tarehe 1 Mei


Hahahahah werAaaaa
 
Jamani wema, najaribu kuvaa viatu vyako vinanishinda mwaya.Huko uliko nahisi uko na doctor karibu wa kuhakikisha pressure inakaa sawa
 
Avemaria my girl njoo huku ujionee mambo..
Hahahaaa,mjini patamu sana.
 
Last edited by a moderator:
Hivi yule sio Dogymasta kwelii au ??
 
Ahsante mpenzi kwa kuniita.Naona watu wanaitana kwa team...
Na wewe ukamwaga mboga
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›

Nakwambiiia....hapa hata kama simfagilii kimziki ubuyu wake nautafuna kama kawa na maji nashushia.
 
Avemaria my girl njoo huku ujionee mambo..
Hahahaaa,mjini patamu sana.

Ndoa na kiumbe tumboni?!
mmmmh!!! Au siku hizi wanaruhusu tu?

Mi bado nipo njia panda hata kwenye pitapita zangu nimesikia kuwa ile sio ndoa sijui ni idea gani ya Zari vile.

Nasubiri iwe confirmed maana mmmmh ni shiiiidah aisee!
 
Last edited by a moderator:
Ndoa na kiumbe tumboni?!
mmmmh!!! Au siku hizi wanaruhusu tu?

Mi bado nipo njia panda hata kwenye pitapita zangu nimesikia kuwa ile sio ndoa sijui ni idea gani ya Zari vile.

Nasubiri iwe confirmed maana mmmmh ni shiiiidah aisee!
Utasubiri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…