Diamond amwambia Wema kupitia mtandao wa instagram ajiandae kwa mtoto

Awape wote mimba penny na wemaa
 
Eti kwani upara kitu gani.........watu wana mambo duhh

huvi diamond ana miaka mingapi mwenye kujua
 
Eti kwani upara kitu gani.........watu wana mambo duhh

huvi diamond ana miaka mingapi mwenye kujua

Kila siku ana miaka 24 kama wema sepetu ila kwa mujibu wa wambea wa muji anagonga 28 au tisa, maana alianza mziki akiwa ana 22 mwak 2009
 
Kila siku ana miaka 24 kama wema sepetu ila kwa mujibu wa wambea wa muji anagonga 28 au tisa, maana alianza mziki akiwa ana 22 mwak 2009

na kila mwaka anasherekea bethidei ila miaka ni ile ile......
 
Besidei ni nini?

Harusi sawa besidei sio vitu vya kuja kutuwekea hapa
 
Kwa umbea hapa ndio umefika ndio nyumbani kwao
Kwani unadhani mimi ninapingamizi katika hilo....sina hata..maana kila thread ya umbea umbea nakukuta bi Mkubwa unatupia vitu vya kutisha!!aminia
 
Kwa kumbukumbu zangu enzi izo nafatilia miss tanzania kuanzia ngazi ya kitongoji hadi taifa Wema wakati anagombea miss dar indian ocean then miss kinondoni then miss tanzania alikuwa anaandikwa ana miaka 18 means kazaliwa 1988 huo ulikuwa mwaka 2006 kwahiyo kwa rekodi ya miss tanzania kule kwa sasa atakuwa na miaka 26 na hata rafiki zake wa utotoni aliocheza nao Sinza niliokutana nao wana age hiyo.

Jokate nae tangu anaanza miss Kurasini mwaka 2006 then Temeke no. 1 then miss Tanzania aliandikwa ana miaka 19 hii inaonyesha alizaliwa mwaka 1987 ila nayeye sikuiz kajitahid kurudisha mwaka nyuma anasema kazaliwa 1988.

Uwoya naye mwaka huo huo 2006 kutoka Miss Chang'ombe then Miss Temeke no. 2 then Miss Tanzania top five nayeye aliandikwa kazaliwa mwaka 1988 na kipindi hicho alikuwa na miaka 18.

NB: Ili ushiriki miss Tz inabidi uwe na miaka 18-25 na mwaka 2006 mwenye umri wa miaka 18 ni aliyezaliwa mwaka 1988.
Ni hayo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…