Diamond anafaa kuwa na demu kama huyu

Mimi Nina hela Zaid ya diamond naomba nipigie pande
 
Sema huyu jamaa hawa watoto ana watafuna sana kudadadeki.
 
Write your reply...
sema yule dogo mi simuelewagi, mondi ni kipofu bado hajaweza kuona vizuri..
 
Hapa ndipo misukule mlipofika. Kuona kuwa kitu kizuri kinastahili kumilikiwa na bwana wako tu si wewe! Kweli ukishakuwa mtumwa wa mawazo unaweza kujitolea uzikwe na bwana yako!
 
Usikute mleta mada hadi misuli ya shingo inamkataza kimnanga Steve Nyerere kuwadi.
 
Sasa ww unataka awe naye mala ya ngapi huyo si ni kate ashatembea naye toka 2012
 
BREAK NEWS

America baresidents gorge bushes deaded at american
 
Naunga mkono hoja, Wanawake wa Kinyarwanda ndio wanaoshika number mbili kwa wanawake warembo barani Africa, number moja ikishikiliwa na Wahabeshi, na kwa Tanzania, the top beauties ni Wahangaza, tatizo lao kubwa ni moja tuu, uzuri huo ni kwa kuwaangalia tuu, lakini sio kwa sababu ni wateke sana

Sasa kama hitaji ni mambo fulani, mabingwa Africa ni Baganda, sasa kama kijana wetu ameisha kaa Baganda na akashindwa, mwanamke hata awe mzuri vipi, bado atashindwa.

Naunga mkono kuwa na mwanamke mrembo kama huyu, but when it comes kwenye uzuri wa mke ni tabia, kwa sisi ngozi nyeusi za Bongo, tunahitaji wagumu ndio tutalia, hawa wateke sana, hawataweza vumilia pilika zetu.
Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!. - JamiiForums
P
 
Huyo mtoto yuko vzur, Sema Tatizo ana USO mfupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…