Diamond anafaa kuwa na demu kama huyu

Uzuri wa mwanamke ni "subjective" machoni kwa mwanaume.

Mzuri kwako anaweza kuwa mbaya kwa mwingine, kila mtu ana vipaumbele vyake kwa mwanamke anayemtaka.

Huyu mbona wa kawaida sana, ingawa sijakataa kwamba ni mrembo kwa kiasi chake.
 
We Steve Nyerere Mzee wa connection?
N
Jamaa kama anamtaka mimi nitamkonect mimi nipo karibu na huyu demu
kwa bongo Msanii unavyokuwa na demu mkali ndo unavyozidi kuuza zaidi kazi zako
 
Watu wanajadili masuala muhimu ya maisha we unatuletea mambo ya demu sijui wa domo! Hayo mambo wapelekee kina hamoniza ndio wanaweza kumtafutia demu
 
Yule wa sudan kaolewa kwa mahari ya ng"ombe 500+ range rover 3 na dola kadhaa za kutosha tu...
Huyu wako mzuri ila hana thamani
 
Watu wanajadili masuala muhimu ya maisha we unatuletea mambo ya demu sijui wa domo! Hayo mambo wapelekee kina hamoniza ndio wanaweza kumtafutia demu
We nae hili ni celebrities nenda Siasa huko ukatoe povu kwa wastaafu wenzeo.
 
Naanza kuona aibu kuishi Iringa.
Amewadhalilisha wahehe huyu jamaa,unaanzaje kumpigania mwenzako apate mwanamke mrembo uliyempenda wewe unajuaje kama anapenda sampuli hizo? Kama umempenda wewe basi pambana umpate.
 

sema hizi mambo bana, unaweza kuta uzuri wakutosha, kufungasha kama kote ila performance zero mpaka mrudishane tuition
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…