Diamond anafanya biashara gani?

Diamond anafanya biashara gani?

Leo (Oktoba 5,2016) akihojiwa na Gadner na Bantu kwenye Jahazi CloudsFM amesema kwa uchungu kwamba TRA wasitake kutoza kodi kila pato wakati wao hawawasaidii wasanii wanapodhulumiwa haki zao. Akamalizia kwa NENO GUMU SANA kwamba wanataka kutoza kodi hata pesa aliyopowa na TAJIRI akasema je kama kakazwa!!
"Wasitake kutoza kodi kila kitu hata pesa niliyopewa na tajiri, je kama nimekazwa!?" Kisha tangazo likafuata...
Mkuu, laiti tungepata hiyo clip ingesaidia sana kujua Diamond aliongea hayo kwa sababu ipi. Inawezekana TRA wanamwonea gele? Au yeye ndo alikuwa anakwepa kodi ?
 
Mkuu hao Wanigeria wasiojua umiliki wa kiwanda cha Cement cha huyo Tajiri wa Africa labda wale wasiokuwa na mitandao ya kijamii.Especially wale waishio Kwa Mtogole ya Lagos. Ila sio wale wanaofuatilia latest news every time.
kwa mfano we unajua vitu anavyomili bakresa nje ya nchi hii?
 
Kuna sehemu umesema ali kiba baada ya kutoa album yake ya cinderella na kufanya poa alikaa kimya kwenye sanaa ila alikuwa na jembe linalomuingizia sasa je wew toka umemsikia diamond ameanza mziki umewahi ona amekaa kimya hilo ndilo jembe lake linalompa mavuno mwisho wa siku na yeye akikaa kimya ujue kapata jembe jingine litalopelekea kupata mavuno.
 
Mwanafunzi wa mbeya day amekua maarufu kuliko Alikiba ingekua me ningetoa nyimbo hapohapo

FURSA HII DOGO AMEPATA[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

sema tu ye anapendaga UJINGA ndo mana[emoji39][emoji39][emoji39]
 
Huyu mwandishi hajui biashara ya mziki wa bongo.
Siki hizi watu wanatoa nyimbo wapige show sio kuuza album itamuuzia nani na kudownload huku na sheria zisizokuwa na meno
 
kwa mfano we unajua vitu anavyomili bakresa nje ya nchi hii?
Mkuu hatuzungumzii vitu hapa ,Ila tunajadili kuhusu viwanda na mali ambazo zipo public known. So ukizingumzia vitu hiyo itakuwa ngumu sana huenda huko nje anamiliki baiskeli unadhani itakuwa rahisi kutambua hilo?
 
-Kuuza Ringtones???? Statistic zipo???
-Kapiga show nyingi???? Statistic zipo???
-Endorsement Voda,Coca-Cola,GSM? ??? stats zipo??
Je hizo show alizopiga kuanzia 2009 za mil10 hadi sasa zinaweza kumpa mabanda yote hayo? Je nidhamu ya fedha ndio hiyo ya kufanya bday ya mil90? Kumbuka pia kuna fela,suka,tale na sallam ukiwaacha dancers na groupies.
maskin nchini yangu!!!! r.i.p anyway
Si vibaya tukipata burudani kutoka studio,tukirudi tutaendelea na mjadala wetu kuhusu Icon wetu.



Kumbukeni na nyinyi kujitolea kwa kidogo mlichonacho.


Tokea haonyeshe hiki "kibanda" ndio yote haya yanakuja,lakini aliposema ana MALI ZINAZOFIKIA THAMANI YA $ 4M WATU WALIBEZA HAPA.

Angeonyesha na "kibanda" hiki alichonunua wiki moja na hiyo ya sauzi,basi wengi wangeshajinyonga humu.

 
Mimi sio shabiki wa Diamond ila mwandishi wa makala hii hajui chochote kuhusu Muziki yupo yupo kwa kurupuka...wote tumeona Diamond alivyolipwa kwenye ile show ya Mombasa aliyofanya na Ali Kiba ni Zaidi ya milioni 100 na kila siku tunamuona jamaa anazunguka Dunia akipiga show Kibao.

Ila bwana Mwandishi amekariri kuwa msanii anapiga hela kwa kuuza Albamu zake mbona ajiulizi kuhusu wasanii wengine kama wakina Harmonise,Mavoko,Abdu Kiba,Jux,Ben Pol,Baraka da Prince,Ommy Dimpozi wanaishije ishije mjini na Hawana album sokoni?!

Angejiuliza kidogo tu kufanya utafiti angegundua biashara ya kuuza albam ilishakufa siku nyingi kwenye Bongo flava siku hizi una-record Ngoma unakichanga hela ya video kali unasubiri show zije full stop sio mambo ya kuuziana albam tena.

na Kwanza kuonyesha ujui chochote Diamond anazo Albamu mbili na sio moja ya Kwanza iliitwa Kamwambie ambayo ndio ya Kwanza yenye Ngoma kama Nitarejea,mbagala,Kamwambie,Nalia kwa mengi etc na Albamu yake pili iliitwa lala salama yenye Ngoma kama Nataka kulewa,lala salama,mawazo,Nitampata wapi,Moyo wangu etc so siku nyingine usiseme kitu ambacho ukijui
 
Muandishi wa hii makala amepwaya. Amechunguza endorsment deals alizonazo diamond na zinampa kiasi kiasi gani kwa mwezi? Diamond ana focus zaidi kwenye popularity kwa ajili ya endorsmenet deals. Hizo ndo zinampa hela nyingi kuliko hizo show na makorombwezo mengine. Diamondo is brand. If you don't have business acumen huwezi kuelewa kivipi..Shows na video ni stretegies anazotumia kukuza popularity ya brand yake..I am sure deals za Voda na Coca zinawezakuwa kuwa worth few billions annually..
 
Album hazilipi si kama zamani nilimsikia master Jay akihojiwa alisema kwa sasa soko la album halilipi, ila watu wanatoa kwa ajili ya kuipa hadhi na heshima mziki wake basi, zinazolipa sana ni tour na ndio maana msanii akitoa album faster tour zinaanza , ila soko album halilipi, labda hizo ring tone, ela inayotokana na airplay basi lkn TOUR ndio mpango mzima. Diamond platnumz mwaka huu amepiga show nyingi alikuwa na tour ulaya na sasa anatour ya Africa, tusiwe na mawazo kila anayefanikiwa ni muuza ngada au freemason kwani hayo ni mawazo ya kimasikini.
Absolutely [emoji106]
 
Kipindi anaanza na Tatizo kwetu Mbagala sikuyaskia haya...Mbona wasalimie Kigoma hatuwasemi..
 
Back
Top Bottom