Mponjoli Njenga
Member
- Aug 16, 2016
- 43
- 56
- Thread starter
-
- #101
Mkuu, laiti tungepata hiyo clip ingesaidia sana kujua Diamond aliongea hayo kwa sababu ipi. Inawezekana TRA wanamwonea gele? Au yeye ndo alikuwa anakwepa kodi ?Leo (Oktoba 5,2016) akihojiwa na Gadner na Bantu kwenye Jahazi CloudsFM amesema kwa uchungu kwamba TRA wasitake kutoza kodi kila pato wakati wao hawawasaidii wasanii wanapodhulumiwa haki zao. Akamalizia kwa NENO GUMU SANA kwamba wanataka kutoza kodi hata pesa aliyopowa na TAJIRI akasema je kama kakazwa!!
"Wasitake kutoza kodi kila kitu hata pesa niliyopewa na tajiri, je kama nimekazwa!?" Kisha tangazo likafuata...
kwa mfano we unajua vitu anavyomili bakresa nje ya nchi hii?Mkuu hao Wanigeria wasiojua umiliki wa kiwanda cha Cement cha huyo Tajiri wa Africa labda wale wasiokuwa na mitandao ya kijamii.Especially wale waishio Kwa Mtogole ya Lagos. Ila sio wale wanaofuatilia latest news every time.
Kuna sehemu umesema ali kiba baada ya kutoa album yake ya cinderella na kufanya poa alikaa kimya kwenye sanaa ila alikuwa na jembe linalomuingizia sasa je wew toka umemsikia diamond ameanza mziki umewahi ona amekaa kimya hilo ndilo jembe lake linalompa mavuno mwisho wa siku na yeye akikaa kimya ujue kapata jembe jingine litalopelekea kupata mavuno.
ilitumia lugha, sasa nimetafsiri... au hukutaka...?Mbona unaingiza maneno ambayo sijayasema mkuu?
Mkuu hatuzungumzii vitu hapa ,Ila tunajadili kuhusu viwanda na mali ambazo zipo public known. So ukizingumzia vitu hiyo itakuwa ngumu sana huenda huko nje anamiliki baiskeli unadhani itakuwa rahisi kutambua hilo?kwa mfano we unajua vitu anavyomili bakresa nje ya nchi hii?
maskin nchini yangu!!!! r.i.p anyway-Kuuza Ringtones???? Statistic zipo???
-Kapiga show nyingi???? Statistic zipo???
-Endorsement Voda,Coca-Cola,GSM? ??? stats zipo??
Je hizo show alizopiga kuanzia 2009 za mil10 hadi sasa zinaweza kumpa mabanda yote hayo? Je nidhamu ya fedha ndio hiyo ya kufanya bday ya mil90? Kumbuka pia kuna fela,suka,tale na sallam ukiwaacha dancers na groupies.
Si vibaya tukipata burudani kutoka studio,tukirudi tutaendelea na mjadala wetu kuhusu Icon wetu.
Kumbukeni na nyinyi kujitolea kwa kidogo mlichonacho.
Tokea haonyeshe hiki "kibanda" ndio yote haya yanakuja,lakini aliposema ana MALI ZINAZOFIKIA THAMANI YA $ 4M WATU WALIBEZA HAPA.
Angeonyesha na "kibanda" hiki alichonunua wiki moja na hiyo ya sauzi,basi wengi wangeshajinyonga humu.
Acha majungu... saka HelaSi unajua ni mwanamziki wetu nyota pia yuko karibu sana na Kinje.
Absolutely [emoji106]Album hazilipi si kama zamani nilimsikia master Jay akihojiwa alisema kwa sasa soko la album halilipi, ila watu wanatoa kwa ajili ya kuipa hadhi na heshima mziki wake basi, zinazolipa sana ni tour na ndio maana msanii akitoa album faster tour zinaanza , ila soko album halilipi, labda hizo ring tone, ela inayotokana na airplay basi lkn TOUR ndio mpango mzima. Diamond platnumz mwaka huu amepiga show nyingi alikuwa na tour ulaya na sasa anatour ya Africa, tusiwe na mawazo kila anayefanikiwa ni muuza ngada au freemason kwani hayo ni mawazo ya kimasikini.
Sky Eclat anasemaMkuu joseph1989 , kwani kuna watu wanasema anasukuma ngada?
Alisemaje mkuu?Ngoja nikamuulize Mange Kimambi
Si unajua ni mwanamziki wetu nyota pia yuko karibu sana na Kinje.
Siri ya mtungi aijuae kata...
Baada ya Diamond ahoji Masanja.