sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
acha kukalili jiongezewatasema mWezi mtukufu huu mtoto wa kiislam macheni shingoni,hereni matatoo za nini?
Unaweza kuimba tukupe sapoti?Hata sijui kwanini sikuwa mwanamuziki.
Niko kwenye kwaya ya kanisa Mkuu napiga bass sidhani kama nitatoboa.Unaweza kuimba tukupe sapoti?
Utatoboa mbinguniNiko kwenye kwaya ya kanisa Mkuu napiga bass sidhani kama nitatoboa.
Usikate tamaa mbona wapo wasanii huimba bass na wanamudu vyema muziki.Niko kwenye kwaya ya kanisa Mkuu napiga bass sidhani kama nitatoboa.
[emoji23]Utatoboa mbinguni
We endelea kupiga step ulisikia wapi watu wanatoboa kwenye kwaya (joke)Niko kwenye kwaya ya kanisa Mkuu napiga bass sidhani kama nitatoboa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Utatoboa mbinguni
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23]nlikuwa napita kmya kmya ila hii comment nmecheka kwa sautUtatoboa mbinguni
We mzee unaanza kuzeeka vibayaUtatoboa mbinguni
We endelea kupiga step ulisikia wapi watu wanatoboa kwenye kwaya (joke)
ππππUtatoboa mbinguni
Hahahaha aise hapo utoboiNiko kwenye kwaya ya kanisa Mkuu napiga bass sidhani kama nitatoboa.
Hahahahaa..!Utatoboa mbinguni