abdulraman
Senior Member
- Jul 31, 2015
- 150
- 20
Wewe mwenyewe umetoka kwenye kinembe vilevile unapiga kelele umezoea kuliwa kisamvu cha kopo unalegeza suruali una laana mama yako nao alikutoa kinembeni toroka uje
wewe mama yako alikutolea mku.nduni, malaya wewe!', anaeliwa kisamvu ni wewe, mama yako na baba yako .............. washenzi nyie.
Enzo achana na huyo Lucifer, atakuletea nuksi tu mkuu
Huna maadili hata kidogo ndo nyinyi wanywa viroba vya bure. Na hapo bila ya shaka umeshavinywa.
Nlikua shabiki mkubwa sana wa bwana mdogo diamond ila kwa post yake ya kikabila leo nimemdharau sana. ..ckatai yy kushabikia CCM Bali maneno yake yanaweza kuwa na impact kubwa sana kwa jamii yaje yatokee mambo yaliyotokea Rwanda uko...kweli nimeamini mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa. ..laiti angekua tandale cdhani kama angeweza kuandka utumbo kama huo. ..watanzania tunateseka kwa mfumo mbovu uliopo nchini. ..laiti Zari Angejifungulia hospital za gvt ndo angejua utumbo anaoushabikia...
Acha kumchafua diamond
Unbelievable weak minded moron that you're.Unajua hii ishu ya kutengeneza account feki ya Diamond inafanywa na Wachaga ili wamuharibie kisa amekataa kuwaunga mkono na chama chao cha kaskazini.. Sasa wameamua kumchafua hii habar tulishareport ata hapa jf kuwa ni ya uongo sema unajua tena mmiliki wa jf anaitwa Mushi ndio wale wale... Sema mzuka tu wanampa kick mnyamwezi.
Kupitia account yake ya Instagram msanii nyota wa muziki wa bongo fleva nchini Diamondplatnumz amekanusha uvumi wa taarifa zinazosambaa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kwamba yeye anakihusisha chama cha CHADEMA na ukabila kuwa uongo na uzushi
Account inayoeneza habari hizo za Diamond ni account fake kutoka Facebook ambayo inatumia jina la diamondplatnumz.
Ikumbukwe pia Account ya Diamond ya Facebook iko verified na inakiti cha Blue na account iliyopost taarifa hiyo ya uongo haiko verified.
Kuna account kumi na saba huko facebook zinazotumia jina la Diamond ikiwemo hiyo inayoeneza taarifa za uzushi kuhusu ukabila!
Taarifa hizo sio sahihi na hazina ukweli wowote ule.
matumbo mzurimie Kim nana kedrick stressfree