Mlalahoi Mlalahai
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 399
- 146
Unazan Rich Mavoco huyomilion10
Diamond platimu a k a Simba,sio wale wapiga singeli uswazi.milion10
Demu wangu ukiwaga mwezini banaaa, haya malizia malizia basi si leo ndo ya mwishoWewe ni Promota? Kama ndivyo mtafute meneja wake tusichoshane hapa, na kama sio Promota unauliza ili iweje?
#via uchokozi
Yeah mkuu maana kuilipa timu yote ile sio mchezoMil 30 mpk 40
Mkuu anatimu kubwa sana sidhani kama unaweza kumpata kwa hizo bei, angekuja mpk kijijini kwetu Idanzunilimsikia juzi a,nasema show za ndani analipwa milioni 2 - 3 na za nje mpaka 4.
Mil 30 mpk 40
Kwa nje au ndani mkuuSio pesa ya diamond kupiga show hiyo.. May be kama ni appearance tu ya muda mfupi bila kupiga show
at least umesogeasogea kwenye ukweli..!Nilisikia analipwa mil 150 kwa ndani na mil 200 hadi 300 mil kwa za nje.
Ukweli unaujua mkuu?..Ukoje?at least umesogeasogea kwenye ukweli..!
Thats nice kama sanaa imefika kulipa hvyoShow zake analipwa 500m za ndani za nje anacharge $ 2m.