Diamond anaposema "bana choo" na "paka mate iteleze" unaelewa nini?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Msanii Diamond Platnumz kuna kipande kwenye wimbo wa kwangaru alioshirikishwa na Harmonize anamwambia mpenzi wake "abane choo" pia kuna kipande kingine anamwambia mpenzi wake "apake mate iteleze kama nyoka pangoni".

Ukiwa kama mdau wa muziki unaelewa nini maneno haya?
 
Anamwimbia nani kwanza? Wema au zari?
 


Mkuu

Badala ya kufikiria mafumbo ya Einstein unafikiria mawazo ugoro ya Diamond Platinumz?

My ribs!
 
ana experience hiyo, atakuwa alishawahi kubana choo mtu mwingine akapata mate ili anachosema huwa kinateleza kiteleze. takataka kabisa huyo ndo maana haoi.
 
Wewe umeshayafikiria hayo mafumbo ya EINSTEIN?

Ndio,niulize!

Halafu Einstein ni mfano tu....ni kwamba fikiria majawabu ya mafumbo na falsafa za magwiji wa mambo serious ya kutusaidia wanadamu,sio ugoro ugoro wa jitu punguani kama Diamond Platinumz!

Ni mwanamuziki,na hiyo ndio level yake,haya mfate huko huko mavumbini!

Unatoa uzi kabisa kuulizia maana ya maneno mabovu kabisa ya mtu mwenye IQ suspect kama Diamond?Nilidhani walao unaleta hoja fikirishi na positive za watu serious kama JK Nyerere,Bill Gates,Steve Jobs,Mengi au Bhakheresa,au hata Niels Bohr!
 
Yani unakuja hili jukwaa ukifikiria utayakuta mafumbo ya kina Eisten? Falasi kweli wewe, ujuaji mbaya sana *****
 
Kwani huu wimbo aliimbiwa nani. [HASHTAG]#bosslady[/HASHTAG] au [HASHTAG]#chuchunge[/HASHTAG],
Ila wanawake sisi ukiona mwenzio mpaka yamemshinda akaamua kuondoka mwenyewe ujue kakumbana na makubwa.
 
Yani unakuja hili jukwaa ukifikiria utayakuta mafumbo ya kina Eisten? Falasi kweli wewe, ujuaji mbaya sana *****

Baba Tupac

Jukwaaa ni la Celebrities,Einstein sio celebrity scientist?

Halafu mzee Tupac unafeli sana,sio "Falasi" ni "Farasi",hadi Kiswahili your mother tongue hujui?

Utajua nini wewe mtu?

Usitake kutuambia jukwaa la Celebrities ni jukwaa la kuongelea ugoro wa kiwango cha lami cha maneno mabovu kabisa ya Diamond Platinumz tu?

Kwahiyo unataka kutuaminisha jukwaa hili waleta thread wote wana ruksa ya kuongelea utumbo kadiri watakavyo?

Infact they are really free to be as stupid as they want to be,thats including you sir!
 
Bado hujajua kwanini nimeandika falasi badala ya farasi, wajuzi wakija watakwambia. Habari za ma scientist wako nenda kazifate jukwaa la elimu, hapa ni ubuyu tu mazerfaker
 
Dogo una stori kigasho!ukiskia tia mate tu nyoro inakupwita
 
Kwani huu wimbo aliimbiwa nani. [HASHTAG]#bosslady[/HASHTAG] au [HASHTAG]#chuchunge[/HASHTAG],
Ila wanawake sisi ukiona mwenzio mpaka yamemshinda akaamua kuondoka mwenyewe ujue kakumbana na makubwa.
Hainaga makombo ile!

Ukisema yanini!wenziwo wanasema ntakipata lini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…