Diamond anaposema "bana choo" na "paka mate iteleze" unaelewa nini?

Diamond anaposema "bana choo" na "paka mate iteleze" unaelewa nini?

nadhani dogo ni mwanachama wa club de sodoma le gomola ndio lugha zao hizo.......we skiliza hata zile nyimbo alizoimba kwa kushirikishwa zigo na ay na kokoro ya rich mavoko.....lazima achomekee hivyo vipande vya kisodoma na gomola... ndio maana hawakai sana na yeye......
Atakuwa anaukalia nayeye kama bado ataukalia tu soon...
 
Diamond lyrics zake siku hizi ni uzinzi tu
 
Msanii Diamond Platnumz kuna kipande kwenye wimbo wa kwangaru alioshirikishwa na Harmonize anamwambia mpenzi wake "abane choo" pia kuna kipande kingine anamwambia mpenzi wake "apake mate iteleze kama nyoka pangoni".

Ukiwa kama mdau wa muziki unaelewa nini maneno haya?


Si mwanamuziki, ni msanii anatafuta kick.
 
Huyu dogo kazd kuimba matus yan
 
Bitoz Nyangema leo wataka uitwe Tupac!

Unafeli sana wewe Tupac wa kufoji!

Huna maana yoyote ya kuandika "falasi" ni kutokujua Kiswahili tu mwehu wewe!Kama una sababu itoe hapa,na kama unayo naomba nipigwe ban ya milele JF!Huna na hutaka uwe nayo mwehu wewe!

Wajuzi wa "falasi" na "farasi",nigga puliiizzzz,you are just shitting on yo'self Pac wannabe!People are that stupid like you kua wajuzi wa "falasi" na "farasi"!

Einstein unaesema hafai kua hapa,ni celebrity milion times over Diamond will ever be!Why don'chu run and give Diamond blowjob kama umekasirika sana?

Einstein is a global celebrity if you don know...na hili jukwaa ni la celebrities,he's rightfully here!

Ugoro wa maneno mabovu ya matusi aliyosema Diamond yanawapa ny**g* namna hiyo?Y'all bunch of niggaz wit'homo tendencies.
haaa haaaa...wyatt...leo umetapika..ila uko sahihi mambo mengine yana kera aiseeee"""upuuzi mtupu"""
 
Okay, siku nyingine ukiona mtu kakuita falasi ujue alitaka kukwambia f@l@ wewe

Nakuhakikishia kuwa wewe ni college kid, unajihisi umemaliza kila kitu kuingia chuo. Pole sana mdogo wangu

Nigga,been on the street corner for 10 years now...did ma eng college since 2008!

Hakuna kitu f@l@=falasi,its an oxymoronic equivalence mkuu!

Cha ajabu unaweza ukawa mdogo wangu wa mbali sana!

But hey,we are just random internet characters in here,don take things seriously,who cares!
 
Nigga,been on the street corner for 10 years now...did ma eng college since 2008!

Hakuna kitu f@l@=falasi,its an oxymoronic equivalence mkuu!

Cha ajabu unaweza ukawa mdogo wangu wa mbali sana!

But hey,we are just random internet characters in here,don take things seriously,who cares!
Uandikaji wako wa ki facebook huwezi kuwa umemaliza 2008 kama ni hivyo basi kichwa chako hutumii kufikiri bali unatumia kufugia nywele tu
 
Uandikaji wako wa ki facebook huwezi kuwa umemaliza 2008 kama ni hivyo basi kichwa chako hutumii kufikiri bali unatumia kufugia nywele tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi sijawahi sikiliza neno kwa neno na kutafsiri katika wimbo. Huwa nasikiliza nin sijui. Ilimradi naenjoy tu
 
Wabamijoo,kilugha hicho..siyo ubane choo..[emoji23][emoji23]
 
umekosea sio 'abane choo' ni 'wabanwe choo' tafuta lyrics song kwenye account ya harmonize youtube
 
Back
Top Bottom