Diamond anatambuliwa kama mwanamke na channel hii ya kimarekani

Kuna mwanamziki wa kike anaitwa diamond white labda walikuwa wanamzungumzia hyo
 
Haaa haaa eti nimejua na dunia imejua kuwa una dstv..jf raha sana..
 
na wewe mswahili mwenzangu unamtambua kama nani?
 
Hii imesabishwa na haya majina ya A.K.A.-

Diamond .
Wana JF mnafahamu mwanamuziki Rihanna ni maarufu na ameimba muziki unaitwa 'Diamond'.
Rihanna ,ni mwanamke.hivyo wanamuziki waache kujipachika majina ya kuiga,mara kutoboa masikio!,huko duniani watu hawana uelewa na Dunia ya kwetu Afrika na hasa Tanzania,unategemea mtu wa Amerika atawaziaje?!
 
Hawezi kusaidika na chochote Kwani hilo sio jina lake halisi. Kama wangemuita kwa jina lililo kwenye kitambulisho ndio ingeleta tatizo.
 
Kuna msanii wa kike pia anaitwa Diamond huko Duniani
 
Kumbe Diamond ni jina kike halafu ukichanganya na kile kipini puani..basi doh!

Hahaha...nimecheka sana Leo.
 

Diamond hana ukubwa huo man, hapo umeongeza chumvi. Ni msanii aliyewahi kujaribu game, na haikuwa. Nadhani wimbo wake mkubwa kuwahi kushiriki ni remix ya my chick bad.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…