Diamond angekua hivi...

umenena sahihi,,japo nipo kwa diamond coz ni msanii ninaemkubali zaidi lakin pia masirahi yaliyopo hayawez nishawishi niache kazi ,Dai anajua nini anafanya kwenye kazi yake

nawe cheza vizuri kwa hicho kipaji chako!
 
Japo watu wengine utaskia mara Dai hivi mara vile. Lkn hata hao mabinti walokwishahusiana na Dai, ukiwauliza leo Dai ni mtu wa aina gani. Watakujibu ktk maboifrend zao walokuwa nao Daimond alikuwa mtu Mzuri sana. Na wanayasema haya Kihisia zaidi.
 
Kuna rafiki yangu doctor alinichekesha siku moja eti elimu yangu kubwa mavyeti kibao ukuta mzima maisha yangu duni hata barnaba ananishinda kudadeki! Nikamwambia sasa doctor nawewe unataka kuimba!?

HAHaha eiseee nimeipenda hii nimecheka sana
 

Mkuu we mtata sana......eti imeletwa kimbea
 
Kuna rafiki yangu doctor alinichekesha siku moja eti elimu yangu kubwa mavyeti kibao ukuta mzima maisha yangu duni hata barnaba ananishinda kudadeki! Nikamwambia sasa doctor nawewe unataka kuimba!?

Hahaa, nafikiri alisahau kuwa muziki ni kazi kama udaktari na uhandisi, tena unalipa sana kama hakuna ubabaishaji
 
umenena sahihi,,japo nipo kwa diamond coz ni msanii ninaemkubali zaidi lakin pia masirahi yaliyopo hayawez nishawishi niache kazi ,Dai anajua nini anafanya kwenye kazi yake

good mkuu.. akili anazo, japo shule imempa shingo!

hivi mkuu, diamond alihitimu form four mwaka gani?
 

hii thread ingeazishwa na h.o.d cjui..yule msela ake diamond mngeipinga kichizz
 
Kwani kujua lugha ya mkoloni ndio green light ya kufanya joint na CB ingekua ivo wengi wanajituma na kizungu chao ht Davido hawamjui ila Diamond ame-team up nae hapa ishu akaze tu km kawaida yake anaweza ashinde uko kwny english courses na isiwe njia ya mafanikio cuz #1 rmx kapiga lugha ya JK na juzi ilikua namba 1 uko Nigeria tusikariri njia za mafanikio kuna AY ana ngoma za kutosha na mcee'z wa nje mbn kawaida hazijamfanya atoboe.
 
Sana sana akaze tu english course british council ili apate collabo zaidi ...kuna siku nlimsikia coke studio anamwaga ung'eng'e AMEJITAHIDI SANAA..
Fees tsh ngapi pale British council nataka nimpeleke Dogo
 
Nafikiri ukisoma halafu ukaishi maisha mabovu inaumiza sana, ila ukisoma na ukaishi vizuri inapendeza sana na kujivunia otherwise ni bora ukose elimu ukawa na mkwanja.
Hapa kuna vitu viwili ukiwa nashule alafu maisha yakawa mabovu ni "UZEMBE"Nikama kufa na kiu ukiwa Baharini nao Ni"UZEMBE"wapili Inamaana ulisoma ili ufanye nini??inabidi uwe creative don't limit your self inside the box go uot of the box ndo maana ukaitwa msomi!
 
Umeona eeh...haba na haba hujaza kibaba, mdogo mdogo ataki-master tu.

Wewe uliyeMaster hiyo English una nini unachomiliki zaid kuliko Diamond?mwachen kijana ashine ELEWA UKIJUA HUU NA HULE HUJUI,upo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…