kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Unapata hasara ganiKama ni kweli yule dalali amedanganya kuwa Diamond kanunua kumbe kapangisha ni kitendo kibaya na kinaweza kumchafulia jina msanii huyo
Ali kiba na tuzo anazo nyingi Sana kuliko diamond ila hapendi kuzionesha.[emoji125] [emoji125] [emoji125]Hamna lolote
Kuongopa aongope Dalali kuchafuka achafuke diamond ? Hilo haliwezekani katu,kwani mangapi yashasemwa ya uongozi juu ya diamond na bado jamaa ndo kwanza anatoboa !!!!???Kama ni kweli yule dalali amedanganya kuwa Diamond kanunua kumbe kapangisha ni kitendo kibaya na kinaweza kumchafulia jina msanii huyo
Ali kiba na tuzo anazo nyingi Sana kuliko diamond ila hapendi kuzionesha.[emoji125] [emoji125] [emoji125]
πππAli kiba na tuzo anazo nyingi Sana kuliko diamond ila hapendi kuzionesha.[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nadhani tushakubaliana kua ali kiba ni kishazi tegemezi maana haiwezekani post iwe ya Diamond halafu na ali kiba ajumuishwe piaNi hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
2m usd unanunua nyumba mbili masaki mkuu,hoyo bei aliropoka tu hata ukianza na kiwanja plus jengo hakuna 1bn
Huwezi kuizungumzia yanga ukaacha kuitaja Simba,vilevile huwezi kuizungumzia Simba ukaacha kuitaja yanga. Diamond na kiba Ni wapinzani(rivals)) wa maendeleo ya kimuziki na kiuchumi kwa kila mmoja wao(against each other)Nadhani tushakubaliana kua ali kiba ni kishazi tegemezi maana haiwezekani post iwe ya Diamond halafu na ali kiba ajumuishwe pia
Mondi mwenyewe akitajwa bila kiba kitajwa anajisikia vinaya.Huwezi kuizungumzia yanga ukaacha kuitaja Simba,vilevile huwezi kuizungumzia Simba ukaacha kuitaja yanga. Diamond na kiba Ni wapinzani(rivals)) wa maendeleo ya kimuziki na kiuchumi kwa kila mmoja wao(against each other)