Diamond anunua jumba kwa Tsh Bilioni 1 na kulifanya makao makuu ya Ofisi za Wasafi(WCB) nchini

Iko fresh hii nyumba ila kama naijua siyo ipo pale kijitonyama opposite na grandvilla, nakumbuka ilijengwa fasta saana kipindi icho ilikua kama sikosei mwaka 2009 - 2010.
 
Hapo ndio yatakuwa makao makuu ya Wasafi Radio and TV......
Mimi sikubaliani kabisa na Diamond kuwekeza hela kwenye hii biashara ya Tv na Radio bado nina doubt.
Lakini namtakia kila lenye kheri
Mkuu ww ni mkulima afu kuwekeza kwenye mashine za kukoboa na kuchakata mazao yako unapata wasi wasi wa nn?? Vijana wengi sana watajiunga na hiyo tv na kazi zao zitapigwa sana hivyo kuteka masikio ya wengi pasipo competetion
 
Watu waliopo nyuma ya Diamond wanamuendesha vizuri sana. Si rahisi kwa Diamond Platnumz kushuka kiuchumi labda kimuziki.
Kwa umaarufu na ushawishi alionao Diamond, Amini nachosema Radio na Tv yake itapata watazamaji wengi sana. Na kumpa faida kama Matangazo, Kuboost nyimbo za WCB, zake na za Wasanii wengine.
Pia kumbuka atatoa ajira kwa Watanzania Wenzake.

•Nachomshauri hiyo TV iwe ya kiburudani zaidi kama EATV ili kuwavutia vijana zaidi.
 
Hakuna ukweli apoo.... nyie wabongo mnashoboka tuu... diamond awe na mjengo wa ivoo.. anavopenda sifa wakati anajenga siangejitangaza..... Sanukaa mnatoa udenda kwenye hamnaaaa
Hatuzungumzii jengo,tunazungumzia kilichomo ndani ya jengo ambacho ni WasafiTv,Wasafifm na Wasafistudio... anaweza akawa amepanga lakini cha umuhimu ni kitu kinachorushwa pale....radio nyingi hapa mjini watu wamepangisha majengo,ishu ni Ofisi na sio jengo
 
Watu wengine uelewa wenu ni mdogo sana[emoji23][emoji23],mwanamwana umetisha....bashite hawaelewi
 
Atueleze hizo Pesa za kufungua radio and TV katoa wapi?

Ila nampongeza kwa Kijana masikini kueza kufanya mambo makubwa
 
Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Huu sasa ushabiki umeingiza...
Mkuu kwani wapi katajwa Ally Kiba hapo kwenye hiyo taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…