ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Hakika Mungu amembariki huyu jamaa hatupaswi kuwa na wivu bali kumuombea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na tochi nzuri Giza halikusumbuiUsilolijua ni kama usiku wa Giza
Mkali wa wimbo ‘Salome’ Diamond Platnumz amesema ameagiza mixer kubwa nje ya nchi ili kuboresha studio ya‘Wasafi Records’ ambayo tayari imeshaanza kushafanyahits kadhaa ambazo zinafanya vizuri katika chart mbalimbali za muziki nchini.
Muimbaji huyo wiki hii alitembelewa ofisini kwake na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira, January Makamba na kumueleza mambo mbalimbali ambayo atayafanya ili kuboresha ofisi hiyo.
“Kwa sasa tunasubiri mixer ifike kwa sababu tuliambiwahatuwezi kuichukua dukani mpaka tutoe order watutengenezee,” Diamond alimwambia Waziri January.
“Zingekuwa ni zile ndogo ndogo wangenipa lakini kwa sababu hii ni kubwa sana lazima utoe order, na tayari nimeshalipia kama dola 20,000 na kitu,”
Pia Waziri January Makamba alimsifia producer wa ‘WasafiRecord’ Lizer kwa kufanya maajabu kwenye wimbo mpya wa Diamond ‘Salome’ ambao kwa sasa unafanya vizuri.
Unataka mda wrote ainadi wakati tayari IPO mikononi make?Nasubiri ikishafika amuite swizz bits aje agonge ngoma.
Kwaiyo??Utumbo mtupu
Unamzugumzia shishi shabiki wa kibakuliVp wadau nimeona povu la shishi insta
Huyo huyoUnamzugumzia shishi shabiki wa kibakuli
Yule jamaa I.Q yke ndogo mchukulie km chizi wao ndo wanamuhaibisha msanii waoHuyo huyo
Imeleta impact gani mpaka sasaIpo THT kwa bwana Ruge
Akiwajibu povu linawatoka..!Story ya nyumba ya south imezimika kama sio kuyeyuka..
tihechiti nA bosi waO wa mawingunI wamefanya yao...Hivi ile mixer ya serikali ambayo alinunua JK.. Iko wapi vileee
Mkuu, unaundugu na Miss Natafuta?Jamaaa anaonekana kuwa na cash ndefu