Diamond anunua kifaa cha 40M (Wasafi Records)

Hakika Mungu amembariki huyu jamaa hatupaswi kuwa na wivu bali kumuombea
 
Story ya nyumba ya south imezimika kama sio kuyeyuka..
 
Nasubiri ikishafika amuite swizz bits aje agonge ngoma.
 

Utumbo mtupu
 
Huyu wazili ajielewi inakuwaje support ipo kwa akina domo tu mbona studio zipo kibao mara kikwete mara waziri basi tutembelee wasanii wote tz huko ni kujipendekeza,sipendagi ujinga
 
Yap diamond anajua kutumia fursa aliyonayo amesoma mchezo ulivyo kwenye anajua kuna siku atahitaji kupumzika au kupumzishwa kwaiyo anatengeneza mazingira ya kubakia kwenye game ata km atakua ajatoa singo kwaiyo ataendelea kuingiza pesa kwa kupitia vitega uchumi anavyojiwekea, na itakua ngumu sana diamond kutokusikika ktk game kwa wakati huu kwa mwenendo alionao yupo right kabisa kwa kumshauri tu aendelee kuinvest ktk suala la mziki naomba awe na video production ya kisasa hapo atakua kamaliza ktk upunde wa sanaa na ikiwezekana anaweza anzisha kituo chake cha radio sababu rogo yake ya wcb inamfanya azidii kua na sababu ya kutafuta asilizike mapema achape kazi
 
Aisee Diamond amebarikiwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…