Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Af nkikuita teammheshimiwa utaniijia juu? Ha ha ha piga kampeni sasa
Shhhhhhh baba nanii tuachane na la mbunge una breaking nyuzi mpya umeona davido alivowaambia wapiga kura wake wa tz?????yani nashindwa hata kuchekaAfadhari wewe umeanza kukubali matokeo kwa kuanza kujizoeza kumuita Mheshimiwa Wema Sepetu. Kisaikolojia hii ni nzuri maana Kibonde alimtukana Sugu sasa mwenzanke yupo mjengoni yeye limemshuka kujipendekeza kote hata Udc hajapewa.
Hebu niiteni Le Mutuz aje hapa tupate maoni yake mzee wa matamko. Mimi kummention jina lake hata sijui wanaandikaje!
Shhhhhhh baba nanii tuachane na la mbunge una breaking nyuzi mpya umeona davido alivowaambia wapiga kura wake wa tz?????yani nashindwa hata kucheka
Af nkikuita teammheshimiwa utaniijia juu? Ha ha ha piga kampeni sasa
Nshakumention kwenye jibu la davidoMimi huko Insta ni mgeni kabisa siku hizi wala sina habari nako sijawahigi kuona la maana, kama kuna jipya weka hapa.
Mpendwa sidhani kama nshawahi kukuvunjia heshima hapa, I beg I beg ooooh (in Nigerian voice) usiniite team...Wewe mwenyewe team prezidaa b ila unakomaa huna team!
Jamani hivi hakuna ubuyu kabisa zaidi ya haya mambo...
Nshakumention kwenye jibu la davido
Hajapewa kadi ya gari.:becky:Ngoja nisikie wale watasemaje
nilijua kiki bongo movies tuu hadi hawa daahhhh aibu kubwa sana.
View attachment 261135
View attachment 261135View attachment 261136
View attachment 261137
View attachment 261138
hili alirudisha baada ya kushindwa kulipa
View attachment 261139
View attachment 261140
lengo lenu lakufifisha sifa na kuzima story za kiba kubeba tuzo sita mmekwama labda mtupie picha zingine mkiwa uchi. Maybe mtatuteka akili
Ushahakikisha kaka si ya kaka Diamond?:becky:kwendraaa huko siez changanywaa mie na walisha ndimu...naona zimeanza kuwageukia yaanii...bwahahahah
Nshakumention kwenye jibu la davido
Thread ipo hapa icheki basiHebu. weka hapa momiee mbona hata mi nataka!
BACK TANGANYIKA
Kwa kiswahili hii kauli ina maana gani?:confused2::confused2:
.........................................
ushahakikisha kaka si ya kaka diamond?:becky: