Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Assalam aleykum W.W.
Ndugu zangu katika imani,mwezi mtukufu umeandama!kesho inshaallah ni ramadhan moja!
Waislam wote wa team diamond na team kiba,team wema na team zari wote kwa pamoja,RAMADHAN KAREEM!!!
Hakika tumeumbwa kumcha Allah kwa hivyo tusijisahau sana waislam wenzangu!
 

Ndo nachompendea Mondi anawaachia watu waseme
 

Thank u, twende tukazipate fadhila za taraweh ya kwanza. Siku ya qiyama hatutoulizwa ya diamond na zari. Ramadhan kareem
 
Diamond yupo busy ndani ya studio mida hii akirekodi Pan African Collabo na D... (unataka jua jina kasome uone) smile... ndani ya Universal Studios

Kaa mkao chanjo mbeleni usipitwe na kibao hicho...

**********

Haya

Kumpigia kura Diamond Platnumz wetu, m Tanzania mwenzetu kama sie fans wake watanzania halisi.

Ingia link hii chini, bonyeza bonyeza usichoke tujivunie uTanzania wetu sie.

http://mama.mtv.com/voting/

View attachment 261249
 
Ha ha ha itakua ndo zawadi anazokupa mbebs nini lol
Kabisa. kibongo bongo ndio zawadi zetu sasa mtu akihongwa Ferrari lazima mtikisiko uwepo.

Tunasahau kuwa kuhongwa kuna viwango kuanzia kyupi hadi Ferrari ,usisahau kuna watu wamehongwa ubunge viti maalumu na ukuu wa Wilaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…