Waambie hao mzurimie!!kazi kumwambia diamond tu wakati kiba ni mzinzi vilevile tena anazaa mpaka na huosegirl!?!?!
Mfalme juha,king masikhara!?
Mama, kura umepiga lakini?
#mzeewaferrarri
Mama, kura umepiga lakini?
#mzeewaferrarri
Hivi mkuu ukifungua link ya kupiga kura unapiga kura kwa kutumia email au namba ya simu?
Nakosaje kupiga kura labla..ni bora nisahau kuvaa chupi lakini sio kuvote for davido mamy
Msione nimehadimika huku nimeweka kambi kwa Davido ni kumimina kura tu mpaka tuheshiane mjini.
Hilo ndio swali la kujiuliza imekuwaje huyo diamond katembea na wasichana kumi kashindwa kuwapa mimba kagusa tu kwa mbibi aliyetembea na wanaume mia eti kampa mimba. Hapa kuna walakini ukweli anaujua zarina mamahuruma.
Haya sasa wewe Danny greeny upite hapa usome maana mgumu kuelewa mwepesi kusahau,huyu hapa shoga yako maneno yake hayaa,nayo uyakatae,
ahahahaaa!halafu hiyo picha hapo chini utadhani kifesi hivi!!
Huyo hapo mama ubays nae Ana kichwa kama sende ashukuru manywele Brazilian hair yanamsitiri la sivyo,sio kwa muinuko huo
Namkumbuka enzi hizo 2005 anafanya interview na salama aliweka meno ya dhahabu ya milioni 3.
⊙Jamaa aliconfirm account yake enzi hizi ikikuwa na Kama m 300.hivi kwa kipindi huko ni hela nyingi sana ni Kama 700m ya sasa.
Kutokea nchini zanzibar,
nimekuelewa vizuri sana.
Haya sasa wewe Danny greeny upite hapa usome maana mgumu kuelewa mwepesi kusahau,huyu hapa shoga yako maneno yake hayaa,nayo uyakatae,
leo nimefunga hapa nimefunga macho nisione hiyo picha aliyovaa kagauni kafupi keusi.
we nae nnyaa kweli,ushajiuliza hao wadada kumi ,Kuna mmoja ashazaa mtoto au kubeba mimba ya wanaume wengine walionao,kama hapanaa basi nao ni wagumba ,,,hutaki leta kithibitisho hao wadada kila mmoja na mtoto wake,halaf ndio useme kashindwa kuwapa mimba,zari kawakomeshaa aisee
Na ukitaka kujua Daimond ni tasa nenda akutie chini kama hujavimba juu
Wema alikiri Ana matatizo ya uzazi au Hilo unajifanya hujui
nina majibu zaidi ya mia ila kwakuwa nimefunga nauweka kapuni huu uzi, mfungo ukiisha ntakujibu kama ulivyouliza.
Hahahahaaa wew nawe huishi vituko. Nimezipata mkuu..vip mzima wewe?