Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teh teh teh teh teh teh pole bhana mi mtu wa pwani sikutukani na wala sitothubutu kufanya ujinga huo ILA KAMUULIZE SWALI DOGO TU DEMU WAKO MARA YA MWISHO LINI KUTAFUNWA TOFAUTI NA WEWE
Hahahahah dai noma mpaka MTU anayo picha yake na anaiweka avatar hahahahaahhah weraaaa mondi bin laden
Alicho ongea umekiona?
Au unaona picha tu kusoma hujui?
Trakooo lako Dina.
Weraaa, umeiona ya mwenzenu au mnanifatilia mie tuuu.
Weraaa to uzalendoooo!
Kwaniiii, diamond si icon ya taifa??
Am soleee, furahiiii maana huwezi amini!
There is more to come ntaweka mpaka avatar ya bwana Salehe serengetiboi wa mama mondi.
Its a free country you know!
Mwenzako cute b leo kamwaga matusi makubwa. Hivi mnakula cha Arusha au Iringa?
Mwenzako cute b leo kamwaga matusi makubwa. Hivi mnakula cha Arusha au Iringa?
kavurugwa humu hadi kalimwa ban yaan anakuaibisha huyu binam yako
mi nafurahiii tu
Haaaaaaaa leo watu wamevurugwa nachekajeee
Hahahahah dai noma mpaka MTU anayo picha yake na anaiweka avatar hahahahaahhah weraaaa mondi bin laden
Mfyuu zako nimekumind sana afu nkakuta uzi umefungwa
Ivi mimi nilikua nachochea au natuliza???mxiiu zako mimi sichambi leoooo nmesema.
Wakati mwingine dina huwa mnaongea pumba mpaka nashangaa kama ni nyie.
Nasema watu wasitukanane eti mnasema mpaka tuache kumnanga dai...
Ivi kweli mnakuaga timamu au mnajitoa akili???
Kwa vile wale wote mashoga zangu ndio maana.
Mnawekaga ushabiki mbele ubongo nyuma.
hii tutaijadili kesho banaa usiku sasa magazeti ya nini tenaa
sasa hivi jukwaa lina Moto moto
Kontena la shule za kata hizo mkuu wasikusumbue vichwa. Vingi vichangudoa. Na vijimaneno vyao wanajiona wana akili mburulaa. Vingine visecretary tu humuHuwa nacheka sana kuona some ------ dizaini yako mkiwa na wajivuna kama kwamba MNA fame kubwa ambayo INA matter na kuleta impacts humu JF na huko kitaa.hahahahahahah
Hauna lolote mlugaluga wa nanjilinji unajifanya na wewe una status na influence humu hshahahah
Watu kama nyie wenye udhia mnapenyezewa rupia basi mmekwisha hahahahah
Mtaisoma namba hadi 0 mwaka huu.shwaini nyie.