RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Hapa sasa mnaingilia fani zetu wengine jamani kwa kulazimisha mambo, labda kama ni shooting za vichochoroni.
Nimefanya kazi ya cormecial advertisement for tv kwa miaka kadhaa nje ya Tanzania hayo mambo yote kampuni niliyokuwa nafanya inakupa invoince kila kitu kinafanywa na wao na ndio maana hata Bongo sasa hivi zipo Hammer za kukodi mara nyingi maharusi ndio wanakodi wala siyo swala la connection, na zile Avis car ukitaka self driving pia unakodishwa unaacha passport au id yako then wanakupa gari unaendesha mwenyewe. (siongelei Tanzania)
Sijui level ya upeo wako lakini hapo hakuna cha connection yoyote unless uniambie hiyo shooting hakuna kampuni inayohusika.
Sifanyi kazi hizo kwa sasa lakini naongea sasa professional siyo kufurahisha baraza tusiwe watu wa kuaminishwa kila uongo.
kwani utaratibu wa kampuni uliofanyakazi ndio utaratibu dunia nzima???