Twende na ukweli kama hio ndinga kweli ingekua platnumz kazawadiwa na Zari kuna watu leo wangelala usingizi wa mang'amng'am yani raia kusikia hizo taarifa walitoa macho utazani wamekabwa na nini sijui ila waliposikia sio wakashusha pumzi na kuanza kucomment ooh dogo anapenda kujipa promo teh teh tuache wivu jaman tukubali tu mshkaji katuzidi na sisi tukomae ata kama tusipomfikia.
Diamond ni vizuri kupenda vikubwa na usiridhike we endelea kutoil tu. Aim higher so that your failures could be your success!!!!
Diamond ni vizuri kupenda vikubwa na usiridhike we endelea kutoil tu. Aim higher so that your failures could be your success!!!!