Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Wengine hata hatujui aina za magari lakini hata iwe Ferari sijui posche ama Vits tunachojua ni kua kanunuliwa gari

Mbona ume-comment kinafiki nafiki? Eti unachojua ni kuwa kanunuliwa gari na mwanamke basi but what's wrong with that? No wonder una friendship na warumi. Birds of the feathers flock together.
 
Nitafsirie ndugu yangu.. thnks baby its finally here ni sawa na thanks bby for buying me this car?? Lugha si yetu hiii im just asking
Na hapa ni lugha nyepesi kabisa yani lugha lainiiiii thanks baby oooh mana ake ahsante mtoto ha ha ha angeongea kiingereza cha uvunguni je watu si wangekufwa......ha ha ha lugha ilipanda ndege diamond siku ingine tumia lugha ilokuja na jahazi na ambao hawajasoma inglish kozi waelewe
 
Jamani, nachelea kusema kuwa ushabiki siku hizi=umbumbumbu!
 
Eti Matola hawa wazee wa lamborgini wanasema domo kanunuliwa nin? Na nani?

Na wewe naye badala ya kupaisha kazi ya kaka unataka kujua ya mondi.

Eeh hakuna mauaji mbona yalishaishaga zamani, Diamond anawasaidia Yamoto Band kutoa video mpya ya kuwika na amewapa tafu yeye wote wapo South Africa wanarekodi na hilo gari linatumika katika video. Ana roho nzuri sana kusaidia kuinua mziki wa TZ.

Mungu azidi kumbariki
 
Last edited by a moderator:
Na wewe naye badala ya kupaisha kazi ya kaka unataka kujua ya mondi.

Eeh hakuna mauaji mbona yalishaishaga zamani, Diamond anawasaidia Yamoto Band kutoa video mpya ya kuwika na amewapa tafu yeye wote wapo South Africa wanarekodi na hilo gari linatumika katika video. Ana roho nzuri sana kusaidia kuinua mziki wa TZ.

Mungu azidi kumbariki

Umbea ni umbea tuu haijalishi ni wa nani upooo?
 
Tena dada yake kiba yumo humu cute b ndio anaongoza promo ya kuomba watu wawapigie kura wanigeria. So hii inaonyesha issue hii ni kubwa katika familia ya kiba kwa kuumia kuona Diamond anafanikiwa wakati wao wamekaa chini hawaji na kitu chochote kipya.
dadake alijisema kuwemo siku nyumbani kiba kadai kaibiwa chezea maneno ya wadau humu kutetea kitu akajisema.

Kitu hiki hata Diamond akiacha muziki kesho wanategemea kiba atapanda kuwa yeye? Kwanini hawajipaishi nao wapae na sio kwamba nafasi hakuna, maisha yake kwenda USA anadanganya na picha anaomba kupiga 1st class huku kasafiri economy maisha feki feki kisa awe Diamond. Tuzo wamepata bado kuungilia MTV kuomba watu wasimpigie kura.

Hii ya wema na kiba kusapoti watu watumie majina yao kuomba kura wapigiwe watu wa nchi zingine, wameenda mbali na wivu, wanaweza kutoa roho ya mtu, khaaaaa. Inabidi ujumbe waandike kuwakataza. Wanatutia aibu wa Tanzania wanategemea kwao wao haitakuwa hivi? If yes wanaota. T 4 T

Acha kumuingiza Ali na familia yake kwenye ujinga wenu wa mitandaoni

Kama kaazima seat kupiga picha we si ukae kimya umeliweka kichwani week sasa hivi kichwa hakiumi?
 
Umbea ni umbea tuu haijalishi ni wa nani upooo?

Ukija kwako unajalisha maana upo busy kuomba watu wawapigie kura akina davido wanigeria na kuacha kupeperusha nchi yetu, kisa kaka yako awe ka Diamond na asichukue tuzovza MTV Africa.

Sasa uwanja wenu hakuna aliyeshikilia na pingu. Mwacheni Diamond afanye yake na nyie mfanye yenu. Wivu wa nini?
 

Na hapa ni lugha nyepesi kabisa yani lugha lainiiiii thanks baby oooh mana ake ahsante mtoto ha ha ha angeongea kiingereza cha uvunguni je watu si wangekufwa......ha ha ha lugha ilipanda ndege diamond siku ingine tumia lugha ilokuja na jahazi na ambao hawajasoma inglish kozi waelewe

Usitokwe na mapovu bure soma heading ya thread halafu hii elimu ya bure mpe huyo member hapo juu ndio aliyeleta huu upuuzi hapa.
 
Ukija kwako unajalisha maana upo busy kuomba watu wawapigie kura akina davido wanigeria na kuacha kupeperusha nchi yetu, kisa kaka yako awe ka Diamond na asichukue tuzovza MTV Africa.

Sasa uwanja wenu hakuna aliyeshikilia na pingu. Mwacheni Diamond afanye yake na nyie mfanye yenu. Wivu wa nini?

Umebweka tuu kama mbwa sijajua point yako ni nini haswa.
 
Acha kumuingiza Ali na familia yake kwenye ujinga wenu wa mitandaoni

Kama kaazima seat kupiga picha we si ukae kimya umeliweka kichwani week sasa hivi kichwa hakiumi?

mitandaoni? Hii karne gani tena? Na usipindishe maneno humu
 
Kama kawaida unaandikaga hivi ukijua ni ukweli mtupu.... Nyani haoni....

Unajua kuliko nikabishana na wew bora nibishane na mtoto wa la kwanza anayejifunza mwandiko. Kwa kifupi sikuelewagi unachoandika sijui ulisomea shule gani wew so nipotezee
 
Hhhaaaaaaaaa gari kaazima kwa ajili ya video ya yamoto band😂😂😂😂,jaman hata kuazima gari show off?? Kujifanya katoa murrano kumbe iliuzwa harrier ya Wema
 
Usitokwe na mapovu bure soma heading ya thread halafu hii elimu ya bure mpe huyo member hapo juu ndio aliyeleta huu upuuzi hapa.
Unatumia nguvu nyiiiingi kuiongelea Lamborghin wakati sahivi diamond yupo shooting hebu kunywa hata juice ya tikiti basi upunguze mori
 
Back
Top Bottom